miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
nikisuka kichwa kinauma sana upande wa kulia ni tatizo gani hilo? au ni msusi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana hutaitaji kusubiri tena...natural hair ikishajitokeza basi unazitream kidogo tu kisha unaanza kuweka permanent curl yako
pole sana mpenzi wangu...wewe yakupasa uanze hair clinic ya Special treatment kwa miezi mitatu(3) I mean ndani ya kila mwezi mmoja utaifanya mara mbili. So jumla utaifanya mara 6 ndani ya miezi 3
Tumia steaming ya aina yoyote ile ilimradi iwe ya kuingia kwenye steamer na wakuache kama dk 20 hivi ndipo wakuoshe.nifanye steaming ya nini?
nitumie spray ipi nzuri?
NAKUAMINIA UJUE!
Oooh pole sana mpenzi…mara nyingi unapendelea kusuka nini na unatumia matirial gani? na je umewahi kuwa na matatizo ya kuumwa na kichwa tangia enzi za utoto wako?nikisuka kichwa kinauma sana upande wa kulia ni tatizo gani hilo? au ni msusi?
Kwanza kwanini ulikata nywele? Zilikuwa zinatatizo lolote au uliamua kuzikata tu?Mimi pia nataka kuweka curl nimenyoa lengo langu nikuzie nywere zangu je nikiweka curl badae naweza rudi kwenye relax
Asili ya nywere yangu ni ngumu, nyingi na nzito
ukija unambie dawa ya kuondoa madoa na makovu mwilini.
ile ambayo haina kemikali tafadhari..nina ngozi veery sensitive
kipilipili hicho ww nyoa tu
Sawa mpenzi…ile picha uliyoiona inaitwa straws hair style…wanatumia hii mirija ya kawaida tu na wanachanganya na mafuta fulani ndiyo inatokea vila, lakini inapendeza zaidi nywele yako ikiwa na dawa (ume retouch)mimi nina nywele fupi kidogo ila ukishika zinasukika, naweka sana wave. nilikuwa natumia sofnfree sasa natumia MOvit, lakini hazichelewi kuota. nataka pia zijiviringishe zikiwa kubwa hivyo hivyo km ile picha uliyoattach katika comment yako ya saa 22:42 usiku. napaka mafuta ya sofnfree gel activator.
Oooh pole sana mpenzi mara nyingi unapendelea kusuka nini na unatumia matirial gani? na je umewahi kuwa na matatizo ya kuumwa na kichwa tangia enzi za utoto wako?
View attachment 123948 View attachment 123950View attachment 123951
Wapendwa ndugu zanguni wa MMU hasa wadada...kama kunakitu au vitu vilikuwa ninakutatiza kuhusiana na swala zima
la urembo wa salon' basi chukua nafasi hii kuniuliza swali lolote lile linalohusiana na huduma za salon.
Hair Reluxer
Hair treatment
Hair special treatment
Misuko
Hair designing &
Beauty clinic (full package)
Je,unatatizo lolote la nywele zako za asili? Au unatatizo lolote la kucha zako za asili?
Yaliyo ndani ya uwezo wangu nitayajibu na yale ambayo yatakuwa nje ya uwezo wangu basi nitayaacha.
"UZURI UNAZALIWANAO ILA UREMBO NA USAFI WA MWILI UNAJIPA MWENYEWE"
dada mwalu makovu gan i can be of help
Kwanza umewahi kubandika kucha before? hilo tatizo la kukatika katika limeanzia udogoni au ukubwani?Nifanye nini ili kucha zangu za asili sizikatike ziwe ngumu?maana sipendi kucha bandia
Mimi napatikana hapa JF kama hivi unavyoona,ila kama utahitaji beauty clinic mzuri basi nitakuelekeza kwani ziko nyingi sana ndani ya Dar kuanzia Mikocheni,Mbezi,Masaki, Msasani na Posta area.Unapatikana wapi? I mean hiyo beauty clinic yako iko wapi?
Do you take students?