Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Wapenzi,kwa wale walioniulizia kuhusiana na permanent curl basi nawashauri muweka Kati ya hizi 2.
Wave neaveau au Leisure curl...hakika hizo ni wave mzuri sana na mawimbi yake yanakaa kwa mda
mrefu sana iwapo uwapo nyumbani unapaka curl keeper yake kila siku asubuhi.

Angalizo: usijiongopee kujifanyia huduma hii nyumbani peke yako...hutaweza kwasababu hizi curl zinaprosses nyingi sana na kama unavyoona hapa pichani kuna makopo karibia sita na yote hayo yanatakiwa yaonje ngozi na nywele zako hatua kwa hatua hadi itokeze original and permanent curl...utatumia masaa matatu hadi manne kufanya huduma hii ndani ya salon
image.jpg
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    336.7 KB · Views: 466
Ok nashukuru...nadhani ndio hiyo mirija...nywele zinasimama hivi..nilivyosikia wanaweka watu wenye nywele natural
Hapana, mirija style haipendezi kwa nywele natural...inapendeza kwa nywele yenye dawa
 
Kwanza umewahi kubandika kucha before? hilo tatizo la kukatika katika limeanzia udogoni au ukubwani?

Hebu funguka kwanza then tutaendelea

Udogoni sikumbuki ila nilishawahi kubandika kucha bandia mara moja tu then sikuludia tena,so unakuta nashika kitu au nafua nikimaliza tu zimekatika kabsa af n nyepesi mno
 
Sawa mpenzi…ile picha uliyoiona inaitwa straws hair style…wanatumia hii mirija ya kawaida tu na wanachanganya na mafuta fulani ndiyo inatokea vila, lakini inapendeza zaidi nywele yako ikiwa na dawa (ume retouch)

Thanks, be blessed.
 
napenda sana kucha, natamani kufuga zirefuke kama za wasichana wenzangu, tatizo kucha zangu ni laini sana, nikijaribu kuzifuga huwa zinamenyeka na kukatika.

Je kuna treatment yoyote ya kucha inayoweza kunisaidia??

thank u in advance my love....
 
duh nimeipenda sana hii thread nakuja na swali langu ngoja nitafute

image ya hiyo hair style ambayo nataka kuiweka sa hivi then uje unishauri

ka inafaa ama vipi maana ka kuielezea hivi hivi sijui ka utanielewa mwaya
 
Ha ha aaa…pale wapi? mimi napatikana hapa JF, ila kama utapenda kuifanya naweza nikakuelekeza salon mbili tatu hivi ambazo utapata hii huduma.
Kuhusu bei sijui…ila hahisi inaweza kuanzia Tshs elfu 25 au 30 kila uifanyapo ndani ya miezi mitatu.

i mean pale saluni kwenu or??

well mi pm bs io hair clinic ndio inakuwaje na izo salun mbili tatu za mm kwenda.
 
duh nimeipenda sana hii thread nakuja na swali langu ngoja nitafute

image ya hiyo hair style ambayo nataka kuiweka sa hivi then uje unishauri

ka inafaa ama vipi maana ka kuielezea hivi hivi sijui ka utanielewa mwaya
Ahsante sana!…uliza tu hilo swali lako na utajibiwa
 
i mean pale saluni kwenu or??

well mi pm bs io hair clinic ndio inakuwaje na izo salun mbili tatu za mm kwenda.
Salon kwetu wapi?…mbona sikuelewi mpenzi wangu?

Any way salon ambazo unaweza kwenda na ukapata hiyo huduma ziko chache sana na nitakutajia baadhi.
1. Ndani ya Peacock Hotel (bibi titi road) kuna salon na wanatoa huduma hiyo.
2. Abisinah salon iliyoko Mikocheni B karibu na Clouds media…wanatoa hii huduma na
3. Million Hairs Salon iliyoko Mikocheni kwa Mwalimu Nyerere.

Ukifanikiwa kufika salon hizo waambie shida yako kuhusiana na tatizo la nywele zako na utapatiwa huduma stahiki.
 
napenda sana kucha, natamani kufuga zirefuke kama za wasichana wenzangu, tatizo kucha zangu ni laini sana, nikijaribu kuzifuga huwa zinamenyeka na kukatika.

Je kuna treatment yoyote ya kucha inayoweza kunisaidia??

thank u in advance my love....
Pole sana mpenzi wangu!…kabla hatujaenda mbali, je umewahi kubandika kucha before?
 
Ahsante sana!…uliza tu hilo swali lako na utajibiwa

kuna style hii ya nywele I wana try.nywele zangu ni ndefu na zina dawa pia

we unajua ni sehem gani wanaifanya poa na nyele zikiwa ndefu haina shida

sijui ka utaielewa hapo siijui jina lake mwaya

nywele JF.jpg
 
kuna style hii ya nywele I wana try.nywele zangu ni ndefu na zina dawa pia

we unajua ni sehem gani wanaifanya poa na nyele zikiwa ndefu haina shida

sijui ka utaielewa hapo siijui jina lake mwaya

View attachment 124421

Hii naijua sana…inaitwa mirija style, na inapendeza sana kwenye nywele ndefu hasa zikiwa na dawa.
 
kuna style hii ya nywele I wana try.nywele zangu ni ndefu na zina dawa pia

we unajua ni sehem gani wanaifanya poa na nyele zikiwa ndefu haina shida

sijui ka utaielewa hapo siijui jina lake mwaya

View attachment 124421
Hiyo mirija ya kawaida ni kwa nywele fupi na hata bei ya huduma yake siyo kubwa sana.
Na hizo bomba ndefu zenye color na size tofauti ni za kisasa,mzuri kwa nywele ndefu na fupi ila bei ya huduma yake hiko juu kidogo...lakini zote zinaitwa mirija style
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    661 KB · Views: 446
  • image.jpg
    image.jpg
    738.3 KB · Views: 434
Invisible au Mods yoyote kwenye jukwaa hili…naomba kwa heshima na tahadhima post No 50 ningewaomba muipandishe hapo juu kabisa kwenye post No 1, ili wasomaji au wachangiaji waone au wajue ni kitu gani cha kuuliza au kutoa maoni

Ahsanteni
 
Pole sana mpenzi wangu!…kabla hatujaenda mbali, je umewahi kubandika kucha before?



umejuaje? napenda sn kubandika kucha, hata sshv nimebandika, hii nikwakua hata nikiziacha hazikui wkt napenda kuwa mrembo
 
umejuaje? napenda sn kubandika kucha, hata sshv nimebandika, hii nikwakua hata nikiziacha hazikui wkt napenda kuwa mrembo
Ha ha haa nilihisi tu...maana wadada au wamama waliowengi ukiona au kumsikia anasema kucha zake zina matatizo basi uje alikuwa anaweka au bado anaweka sana hand tips. Ukiweka hand tips mara kwa mara ni lazima kucha zako zipate mushkeri.

Ushauri wangu kwako ni: kwanza pumzisha kucha zako kwa kutokubandika kwa miezi kama mitatu hivi...zingatia kuzifanyia pedicure na manicure kwa kwenda salon yenye huduma mzuri. Pia make sure unanunua nail hardener polish mzuri( from SH Amon au Marry rose cosmetics) na uwe unajipaka kwenye kucha zako za natural asubuhi na jioni baada ya kuoga.
 
Hiyo mirija ya kawaida ni kwa nywele fupi na hata bei ya huduma yake siyo kubwa sana.
Na hizo bomba ndefu zenye color na size tofauti ni za kisasa,mzuri kwa nywele ndefu na fupi ila bei ya huduma yake hiko juu kidogo...lakini zote zinaitwa mirija style

bei gani for me I can do it........ela matumizi yake nini!!!!!ndo mambo ka hayo

ka sina sina ka ninayo urembo muhim my dia.......

na kule millionhairs wanaifanya hii ka hamna nitajie saloon inayofanya hii kitu fresh
 
Back
Top Bottom