Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Mi nywele zangu ndefu ngumu hafu huwa hazishiki dawa vizuri nilianza na movit haikushika nikahamia tcb yani bado hazishiki dawa inakaa mda mchache zinakuwa ngumu nitumie dawa gani
 
Mi nywele zangu ndefu ngumu hafu huwa hazishiki dawa vizuri nilianza na movit haikushika nikahamia tcb yani bado hazishiki dawa inakaa mda mchache zinakuwa ngumu nitumie dawa gani

Daah!! Hivi bado kuna watu wanatumia TCB? Anyway acha nisiingilie biashara za watu.

Ushauri: Jaribu kutumia Profective reluxer (iwe super na siyo regular) am sure italeta majibu mazuri
 
Daah!! Hivi bado kuna watu wanatumia TCB? Anyway acha nisiingilie biashara za watu.

Ushauri: Jaribu kutumia Profective reluxer (iwe super na siyo regular) am sure italeta majibu mazuri

dah nna swali lingine nisamehe kwa maswal mengi
 
Swali langu la kwanza,hair treatment ya palmers inatumiwaje maana nikienda nayo baadh ya salon wanasema inasetiwa wengine nikae kwenye steamer bt cku nilipokaa kwa steamer ilikuwa kama ugali kichwani.je niendelee nayo?
Pili mm huweka beutful begnn ya box,sasa cku moja nikatafuta duka mbili tatu nikakosa,nikanunua olive oil,nikaweka.kias ikabak.sasa baada ya muda kuja kuangalia ile box imeandikwa ni for course hair ikimaanisha nywele ngumu,na mm nywele zangu ni lain na nyepes je unanishauri niendelee na hyo iliyobaki ikifika kipind cha kuretouch?
Tatu; kuna dawa inaitwa motion ni ya kopo je ni nzuri?nataman kuijaribu maana niliambiwa kwa nywele nyepes na ambazo hazijai itajaza nywele..mm sipendelei hizo mega profectiv kwan kuna mwenzangu japo katumia lakn wala hazijajaa
 
asante kwa fursa nzuri,mm ni mdau wa maswala ya urembo hasa wa nywele,na naweza sema ninazo ndefu si haba.nami nataka kujua zaidi kuhusu hiyo mirija naipenda sana.ila nipo moshi na sjui wapi wanaweza niweka hiyo,yan ungeweza kuelezea hapa jinsi inavowekwa hatua kwa hatua huenda wenye salon zao wajasiriamali wajifunze ingependeza,au mm pia nikielewa naweza mwelewesha mtu wangu wa salon ili aniweke.ntafurahi sanaaaa ukinijibu

mie ndio niko naitengeneza hapa... sema inachukua muda mrefu hiyoo..., muda kweli niko saloon hapa ndio anamalizia

huyu kaka wa hii saloon sijapenda hata kidogo alivyoniwekea leo...
 
Hapana hutaitaji kusubiri tena...natural hair ikishajitokeza basi unazitream kidogo tu kisha unaanza kuweka permanent curl yako

Ni shampoo gani inafanya nywele ziwe nyeusi na nzito?? Ya kiume lakini
 
mie ndio niko naitengeneza hapa... sema inachukua muda mrefu hiyoo..., muda kweli niko saloon hapa ndio anamalizia

huyu kaka wa hii saloon sijapenda hata kidogo alivyoniwekea leo...

Ha ha haaa...umenifurahisha sana!! Huna jinsi ni lazima ulipe hiyo bili leo lol!!
 
Ha ha haaa...umenifurahisha sana!! Huna jinsi ni lazima ulipe hiyo bili leo lol!!

my dear alivyonifanya najuuuuta.... nimekasirika ila nimemwambia sijapenda alivyonitengeneza.

namkutaga huyo dada ananitengeza vizuri leo sijamkuta.. huyu kaka naona alikua anajifunza katika kichwa changu hiyo mirija namwelekeza fanya hivi ye ananiambia sister tulia niachie mimi kila kitu... hsalafu ananiambia eti kapandisha bei maana walikua wanatumia generator.,sijamwongeza hata sentii
 
Daah!! Hivi bado kuna watu wanatumia TCB? Anyway acha nisiingilie biashara za watu.

Ushauri: Jaribu kutumia Profective reluxer (iwe super na siyo regular) am sure italeta majibu mazuri

Okay nitajaribu maana hiyo ya mwanzo ndo walinishauri kwa nywele ngumu ila ya sasa nitatumia hii
 
Swali langu la kwanza,hair treatment ya palmers inatumiwaje maana nikienda nayo baadh ya salon wanasema inasetiwa wengine nikae kwenye steamer bt cku nilipokaa kwa steamer ilikuwa kama ugali kichwani.je niendelee nayo?
Pili mm huweka beutful begnn ya box,sasa cku moja nikatafuta duka mbili tatu nikakosa,nikanunua olive oil,nikaweka.kias ikabak.sasa baada ya muda kuja kuangalia ile box imeandikwa ni for course hair ikimaanisha nywele ngumu,na mm nywele zangu ni lain na nyepes je unanishauri niendelee na hyo iliyobaki ikifika kipind cha kuretouch?
Tatu; kuna dawa inaitwa motion ni ya kopo je ni nzuri?nataman kuijaribu maana niliambiwa kwa nywele nyepes na ambazo hazijai itajaza nywele..mm sipendelei hizo mega profectiv kwan kuna mwenzangu japo katumia lakn wala hazijajaa

Hiyo treatment ya palmers siijui na kama ipo basi sijawahi kuiona.

Motion reluxer ni dawa mzuri pia...ila inafaa zaidi kwenye nywele ngumu na kavu.
 
my dear alivyonifanya najuuuuta.... nimekasirika ila nimemwambia sijapenda alivyonitengeneza.

namkutaga huyo dada ananitengeza vizuri leo sijamkuta.. huyu kaka naona alikua anajifunza katika kichwa changu hiyo mirija namwelekeza fanya hivi ye ananiambia sister tulia niachie mimi kila kitu... hsalafu ananiambia eti kapandisha bei maana walikua wanatumia generator.,sijamwongeza hata sentii

Ha ha haaa nimecheka sana!...anyway acha nisiingilie biashara za watu. No comment.
 
image.jpgimage.jpgHayo ni mambo ya beauty clinic na skin care treatments.
😛icha kwa hisani ya Million Hairs Salon:
 
Mkuu nishauri nifanyeje, nywele zangu nimeretouch kama miezi 4 iliyopita, kwa sasa sihitaji tena kuweka dawa, nataka nibakie na nywele zangu bila kunyoa, nifanyeje dawa iishe kabisa kwenye nywele?
Nywele ni ndefu kiasi
 
Mi nilikuwa naweka TCB na matokeo yalikuwa mazuri tuu. Nikapanda dau nikaanza kuweka Mega akyanani mara 1 tu sikurudia nywele zikawa ngumuu,hazinyooki,zinakauka,na kukatika nyuma ndo usiseme na kuanza mtindo wa kutoshika dawa. Nikarudia tcb waapi,miadi waapi kadri navyokwenda zinakwsha na nimekuwa mtu wa kusuka suka tuu sasa maana dawa haaishk vyeema. Pia napenda kuweka bleach kwenye nywele na sasa nimeweka miadi na naweka nasuka. Niambie nitumie dawa gani na nini na nini nyele zangu zikae poa na blech nayo pia
 
Mkuu nishauri nifanyeje, nywele zangu nimeretouch kama miezi 4 iliyopita, kwa sasa sihitaji tena kuweka dawa, nataka nibakie na nywele zangu bila kunyoa, nifanyeje dawa iishe kabisa kwenye nywele?
Nywele ni ndefu kiasi

Kuisha kwa dawa kwenye nywele yako iliyoritachiwa dawa ni wewe kwenda Salon waambie wazitrim hadi zifike kwenye ile level ambayo nywele zinakaribia au kuonekana zinaota mpya.
 
nilipitiwa shosti wangu,sasa lini tukabandike. tuachane na king'asti anabandikaga makucha ya kunguru.

Hebu uliza kama ana shilaki........shogangu nitakupa ofa ya kitu cha shilaki.......mbona watakutangazaaa.......
 
Pole sana! Hata hivyo sielewi kwa nini ulibadilisha hiyo dawa yako iliyozoea kwenye nywele yako na ukahamia nyingine.
Nikiri ni kweli kuhama hama au kubadilisha badilisha dawa ya nywele inaweza kukuletea matatizo sometime.

Sasa basi, najua uliachana na olive oil ya zamani na ukahamia kwenye olive miracle ambayo ni mpya.
Sasa ushauri wangu kwako nakusihi urudi kwenye dawa yako uliyoizoea OLIVE OIL kwani bado zinapatikana madukani.

Note: Ili kurudisha na kurutubisha nywele zako zirudi katika Hali ya kawaida kama zamani make sure kila unaporitouch
Unazifanyia nywele zako hair treatment...na usisuke rasta wala kushonea weaving kwa takribani miezi 3.

Hapa chini nakuwekea picha ya treatment ya groganics kit na reluxer za olive oil mpya na ya zamani.

Asante lov

Kweli ckuwa na sbb yoyote ya kubadirisha nilijickia tu...

Mpenz kweli hyo ya zamani kuipata ni kazi sshv nimezunguka hadi huko kko hakuna nao pia wameniambia ni kweli zinaishia zinakuja mpya tu

Niliyonayo nimeinunua zanzibar ndo nilikoipata


Na ktk hyo pic hakuna ya zamani hapo zote mpya hizo ndo zilizoharibu my hair
ngoja nifike hom nikupigie pic ya zamani uione..

Nashukuru pia kwa hizo treatment
 

Attachments

  • 1408531029261.jpg
    1408531029261.jpg
    32 KB · Views: 428
Back
Top Bottom