MillionHairs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 803
- 406
- Thread starter
- #181
Hayo mafuta pia ni mazuri sana…yanatokea USA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noted mkuu je una swali lingine kuhusiana na urembo?
nywele zangu ni nene na nzito
halafu ni ngumu kushika dawa,
niweke dawa gani ziwe zinashika haraka?....maana kila dawa ninayoweka naungua ngozi kabla hazijashika vizuri
Hapana natoa kwenye nywele zote? Kwani nywele zako zimekatika sana? na je hapo before umewahi kuweka nywele zako dawa?
![]()
Hebu jaribu kutumia mafuta hayo hapo pichani ni mazuri sana kwa natural hair.
Usiweke dawa hizi ni nywele asili za kiafrika wengine tunazipenda zikiwa natural. Wewe paka mafuta ya kawaida tu achana na huyo mzushi.
Mie napenda kuziwekea dawa
Nisipoweka hata kuchana siwezi
Uliza tu mkuu
Huna haja ya kuweka dawa kuna mafuta unaweza kupaka na kulainisha nywele ili iwe rahisi kuzichana. Hizi dawa zao mimi huwa siziamini kwani nimekuwa nikiwaona kina mama watu wazima waliokuwa mabingwa wa kuweka dawa wakinyonyoka nywele. Sipendi na wewe ikutokee.Mie napenda kuziwekea dawa
Nisipoweka hata kuchana siwezi
thanks, mpenzi wangu rangi ya ngoz yake ni maji ya kunde na ina mafuta kidogo maana sometimes hutoka vchunusi vya hapa na pale, je atumie lotion gani ambayo haibadili uasili wa ngozi yake!?
mwallu, kwanza niambie hapo kabla umewahi kuweka au kutumia dawa gani?...then nitajuwa nikushauri nini.
Dawa gani nzuri yakutolea nywele mwilini? Nywele zangu za mwilini hukua hara siku 14 tuu Kama sijatoa zinajaaa, na nimefanya Kwa sukari inaumaaaa .. Na inawekaa Baka Kama nimetafunwa.. Kuna dawa nzuri au saloon nzuri wanayo fanya vizuri...
Mpendwa na mimi nisaidie nywele zangu ni laini na chache kiasi kwa sasa naweka movit ila kuna kipindi niliweka olive nywele haikuwa nzuri ndio nikahamia movit,hivi majuzi niliritachi ila aliyeniweka dawa akaweka mpaka juu! Vikawa vyepesi sana na sasa kila nikichana zinatoka sana! Huwa natumia steaming ya miadi na mafuta yake lkn sina hakika kama inanisaidia,naomba ushauri either nitumie dawa gani ya relaxer,steaming na mafuta ambavyo vitaendana vzr na nywele zangu laini na chache.Je nifanyeje ziache kupukutika ninapochana?nakereka sana
Prishaz, pole kwa matatizo ya nywele zako lakini usijari yatakwisha...ni mambo ya kawaida kwenye urembo wa nywele.Mpendwa na mimi nisaidie nywele zangu ni laini na chache kiasi kwa sasa naweka movit ila kuna kipindi niliweka olive nywele haikuwa nzuri ndio nikahamia movit,hivi majuzi niliritachi ila aliyeniweka dawa akaweka mpaka juu! Vikawa vyepesi sana na sasa kila nikichana zinatoka sana! Huwa natumia steaming ya miadi na mafuta yake lkn sina hakika kama inanisaidia,naomba ushauri either nitumie dawa gani ya relaxer,steaming na mafuta ambavyo vitaendana vzr na nywele zangu laini na chache.Je nifanyeje ziache kupukutika ninapochana?nakereka sana
View attachment 186707 Prishaz...product ndiyo hizi hapa. Dawa,steaming na mafuta yake.
Kama sijakosea unaongelea skin waxing...kwa kawaida waxing ya kutengeneza kienyeji ambayo wanatumia asali,ndimu au sukari huwa inachagua ngozi ya mtu. Kuna mwingine inamkubari na kuna mwingine inamkataa. Ushauri wangu kwako jaribu kutumia ready made waxing za madukani na uhakikishe ziwe za kupasha na siyo zile za baridi.
Kuhusu Salon...jitahidi kwenda kwenye salon kubwa kubwa na siyo hizo salon ndogo ndogo. Akili yangu inanituma Salon kubwa kubwa huwa wamejipanga sana na wako makini sana kwenye upande wa skin care treatments.
