Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

Wadada, niulizeni kitu chochote kuhusiana na huduma za salon, hair & nails

mi naomba unisaidie..nitumie nin ili nywele zijae kwasababu napenda nywele nyingi na sina kiivo....pili kwanin nywele zinaweza kukua kwa kasi afu ikafika mda zinasimama..nini solution ya kupungua kukua au kuna vitu nakosea...tatu nywele zangu zinadawa lakini ni nyeusii lakin siku zinavoenda weusi unapungua...nifanye nin kuprotect hair colour..
Pole sana mpenzi wangu…kwanza ulianza kutumia dawa gani na sasa unatumia dawa gani? je unabadilisha badilisha dawa kila wakati?
 
Mara nyingi natumia rasta za kawaida tu na pia kusuka nywelw zangu ..... sijawahi kuwa na tatizo la kichwa ... ila nikisuka tu iyo wiki ni mateso kwangu . Na ninapendwza wewe acha tu
Okay nimekupata…kama kweli kichwa kinakuuma upande mmoja kama ulivyosema basi hilo siyo tatizo la msusi bali nahisi ngozi yako kichwani iko very sensitive na haitaki mivuto yoyote.
Na ukishonea weaving unapata the same problem?
 
mnayo hii huduma pale?? ni how much?
Ha ha aaa…pale wapi? mimi napatikana hapa JF, ila kama utapenda kuifanya naweza nikakuelekeza salon mbili tatu hivi ambazo utapata hii huduma.
Kuhusu bei sijui…ila hahisi inaweza kuanzia Tshs elfu 25 au 30 kila uifanyapo ndani ya miezi mitatu.
 
Mimi napatikana hapa JF kama hivi unavyoona,ila kama utahitaji beauty clinic mzuri basi nitakuelekeza kwani ziko nyingi sana ndani ya Dar kuanzia Mikocheni,Mbezi,Masaki, Msasani na Posta area.

Huyo mwanafunzi wako anataka kujifunza nini?
Thanks, siko Dar lkn nafikiri kwa faida ya wengi ungetupatia your top 10 in Dar.

Mwanafunzi/wanafunzi wangu wanahitaji full beauty package nataka kufungua salon huku magharibi ya Tanzania niliko.
 
Wapenzi,urembo ni gharama

So unapokwenda salon kufata huduma inayokupeleka make sure unamuhoji vizuri muhudumu kuhusiana na hiyo huduma ambayo unataka kufanyiwa hadi ujiridhishe,kwani usikubali kuufanya mwili wako kuwa wa majaribio na ukizingatia kuwa
unalipa pesa na unatumia mda wako mwingi hapo salon. So usikubali kufanywa mdori bali kuwa muelewa uwapo salon
 
Thanks, siko Dar lkn nafikiri kwa faida ya wengi ungetupatia your top 10 in Dar.

Mwanafunzi/wanafunzi wangu wanahitaji full beauty package nataka kufungua salon huku magharibi ya Tanzania niliko.

Any way nitakuwekea chache kwanza ambazo ni mzuri.

1.Lemon Spaa - Masaki
2.Ndani ya Kempisyki Hotel- kivukoni road posta
3. Ndani ya Serena Hotel- mtaa wa Ohio posta
4.American nails- Kinondoni na
5.Million Hairs Salon - ipo Mikocheni kwa Mwalimu nyerere

Kuhusu huyo/hao wanafunzi wako nafikiri nitakuPM na nitakuambia wapi pa kuwapeleka
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    389.9 KB · Views: 609
Mie natumia beautiful begining box,au Argan oil products mafuta ya nywele napaka olive oil na parnevu oil laki nywele zangu nikavu nikipaka mafuta siku 2 tu nywele ishapauka ka sijapaka mafuta nina ngozi kavu kwa kifupi nitumie mafuta gani nywele yangu ishine
Kwanza hongera kwa kuwa na ngozi kavu kichwani.
Pili tumia mafuta ya Organic Texture my way na Olive oil hair polisher.
 
Any way nitakuwekea chache kwanza ambazo ni mzuri.

1.Lemon Spaa - Masaki
2.Ndani ya Kempisyki Hotel- kivukoni road posta
3. Ndani ya Serena Hotel- mtaa wa Ohio posta
4.American nails- Kinondoni na
5.Million Hairs Salon - ipo Mikocheni kwa Mwalimu nyerere

Kuhusu huyo/hao wanafunzi wako nafikiri nitakuPM na nitakuambia wapi pa kuwapeleka

Thanks, waiting for the PM.
 
makovu ya kawaida ivi..niliumia wakati wa kucheza utotoni..na madoa ya chunusi ivi

ntaomba nikupm badae kuhusu makovu ya utotoni..lakini ya chunusi nimetumia bithaa ya oriflame ina content ya teatree imenisaidia sana..haina chemicals na ni for sensitive skin
 
thank you in advance
ntaomba nikupm badae
kuhusu makovu ya utotoni..lakini ya chunusi nimetumia bithaa ya oriflame
ina content ya teatree imenisaidia sana..haina chemicals na ni for
sensitive skin
 
Brenda mpz,namie nna tatzo ilo ilo la makovu ya utoton,ambayo yapo mapajan na miguun,so pls namie nisaidie
 
Nywele zangu hazina dawa na ni fupi nilizikata ili niwe na nywele natural....

Sasa nahitaji kuzifanyia matunzo pamoja na ufupi wake nitumie nin ili niwe na nywele zenye afya...? Na pia nywele zangu ni laini..?

swali lingine..kuna hii style inaitwa ya vibomba kwenye saloon yenu mnaweka nywele vibomba?
 
Pia napenda kujua jinsi ya kufanya massage...naomba msaada kwa yoyote anaejua,na pia nahitaji kujua na mafuta yanayofaa pia.
 
Nywele zangu hazina dawa na ni fupi nilizikata ili niwe na nywele natural....

Sasa nahitaji kuzifanyia matunzo pamoja na ufupi wake nitumie nin ili niwe na nywele zenye afya...? Na pia nywele zangu ni laini..?

swali lingine..kuna hii style inaitwa ya vibomba kwenye saloon yenu mnaweka nywele vibomba?
Sawa mpenzi…kwa vile nywele zako ni fupi ningekushauri uende salon yoyote ile ambayo wanatoa huduma mzuri na uwaambie wakuweke Curl ya Texture my way ya Organic na kama hawana hiyo product basi nenda pale mjini kwa SH Amon utaipata,ikiwezekana ununuwe na curl keeper yake kwa ajili ya kujipaka wewe mwenyewe kila siku asubuhi.

Hapo kwenye vibomba sijakuelewa…au unaongelea mirija style?
 
Asante sana mamii kwa kujibu maswali yetu kona hii ya urembo..hususan nywele
Sasaa... naomba nijuze, mimi nina asili ya nywele laini (yaani sio kipilipili) na zipo chache kwa kweli. Kuna kipindi, kama 3 yrs iliyopita niliweka dawa, ilikuwa beautiful begining..jamani.... zilikuja katika mpaka nilijuta nikaamua nizikate nianze upya hivyo mpaka sasa bado zipo hazina dawa na ni ndefu. Huwa nafanya steaming mara kwa mara na kweli mabadiliko naona maana hazikatiki sana..naomba nishauri kwa nywele nyepesi relaxer gani inafaa, na steaming ipi ni nzuri zaidi kwa aina hii ya nywele... kwa kipindi hiki natumia steaming ya perfect. Nashukuru sana kwa mchango wako mamito
 
Asante sana mamii kwa kujibu maswali yetu kona hii ya urembo..hususan nywele
Sasaa... naomba nijuze, mimi nina asili ya nywele laini (yaani sio kipilipili) na zipo chache kwa kweli. Kuna kipindi, kama 3 yrs iliyopita niliweka dawa, ilikuwa beautiful begining..jamani.... zilikuja katika mpaka nilijuta nikaamua nizikate nianze upya hivyo mpaka sasa bado zipo hazina dawa na ni ndefu. Huwa nafanya steaming mara kwa mara na kweli mabadiliko naona maana hazikatiki sana..naomba nishauri kwa nywele nyepesi relaxer gani inafaa, na steaming ipi ni nzuri zaidi kwa aina hii ya nywele... kwa kipindi hiki natumia steaming ya perfect. Nashukuru sana kwa mchango wako mamito

Ahsante sana mpenzi na karibu sana kwenye mjadala wetu wa urembo...lakini mimi siyo KE bali ni ME
Dawa ambayo nakuchagulia ndiyo hii hapa kwenye picha,na hapo pembeni ni steaming ambayo nakuchagulia kutokana na maelezo yako...tumia product hizo am sure utapata mabadiliko makubwa sana ila punguza kushonea weaving na kusuka suka rasta bila kupumzisha ngozi na nywele zako.
image.jpg
 
Oh! Nisamehe bure mkuu.... Asante sana kwa ushauri!
 
Sawa mpenzi…kwa vile nywele zako ni fupi ningekushauri uende salon yoyote ile ambayo wanatoa huduma mzuri na uwaambie wakuweke Curl ya Texture my way ya Organic na kama hawana hiyo product basi nenda pale mjini kwa SH Amon utaipata,ikiwezekana ununuwe na curl keeper yake kwa ajili ya kujipaka wewe mwenyewe kila siku asubuhi.

Hapo kwenye vibomba sijakuelewa…au unaongelea mirija style?

Ok nashukuru...nadhani ndio hiyo mirija...nywele zinasimama hivi..nilivyosikia wanaweka watu wenye nywele natural
 
Nina natural hair,ila nafunga sana vitambaa(vilemba) kichwani,sasa nywele yangu inakatika usoni nifanye treatment gani?
 
Back
Top Bottom