Wadada tunaopenda savvana tukutane hapa

Wadada tunaopenda savvana tukutane hapa

Acheni kujikweza wanawake wa dar kinywaji chao official kwa sasa ni serengeti light ya Tshs 1,500-2,000 na Sminoff Sijui zinauzwa bei gani ila zinauzwaga kwa mafungu kama nyanya, zile windhok na heinken washasahau ladha yake
 
Cheers for savanna [emoji482]
Viwanja kadhaa navyopita kwa sasa naona wadada wengi wanaopendelea bia ukiachana na wapendelea wine, wamehamia kwenye Serengeti light na si Redd's tena.

Ila kuna bia moja inaitwa DESPERADOS nakushauri uijaribu hiyo ipo viwanja vichache kwa hapa bongo ila sehemu yeyote classic hawakosi hiki hususani wanapofika wazungu wazungu.

Ilitaka kupita humo humo kwenye Redd's , Savannah na St. Anna ila hii itakufaa na utaipenda.
Desperado ndio iko kwenye chupa kama ya redd' ya chupa??
 
Mlevi ana bwia kila siku na anahakikisha ana lewa mpaka kuondoka ni shida! Mwaji hanywi kila siku ila ana viwango kama akitaka kumywa
 
Back
Top Bottom