Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

🀣🀣🀣🀣mkuu Kama nawewe umeona Kama mimi sema emeeeeeeeeeeeeen
Ameeeeeeeen
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Ila wakikumata watakugombania
 
UNahudumia wenzako wanakula bureπŸ˜‚πŸ˜‚chaguo ni lako
 
Kuna legend kaamua kutoa ya moyoni 🀣🀣🀣🀣🀣
 
Reactions: amu
niwatu tuflani malofa hivii hawana lolote.au kwalugha nyingine nawaita matapeli wamitandao🀣🀣kitaa Kuna pisi wao wanashinda kutongoza walimu humu🀣🀣🀣
Kuna miamba Ina matukio si mchezoπŸ˜…...wakiingia jf wao ni kuwinda 24hrs
 
halafu nanyie hicho chama mlitumia vigezo gani kukiunda?🀣🀣namwaka mpya tusha shehelekea kitambo kwanini nyie mfanye Jana sherehe?navigezo vya kujiunga kwenye chama chenu nivipi?ulipata mpenzi hapo jana ambae hampigani vizinga?
 
[emoji706]
 
niwatu tuflani malofa hivii hawana lolote.au kwalugha nyingine nawaita matapeli wamitandao[emoji1787][emoji1787]kitaa Kuna pisi wao wanashinda kutongoza walimu humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila wee ni mgomvi sanaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oyaa nimekupenda bure
 
Hili la kupoteza marafiki muhimu ni kweli kabisa maana kuna wakati unampa thamani kubwa mwanamke lakini kadri muda unavyozidi kwenda anaanza kupiga vizinga hadi ile thamani uliyompa unaanza kuiondoa na kumtoa kwenye list ya marafiki wazuri.

Mtu unaweza kumpangia mengi mazuri mbeleni lakini upigaji wa vizinga unasababisha kumpotezea mapema kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…