Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wakisemwa kwa upole hawataacha,
Ungeshairi wasemwe kwa ukali
 
Mbombo ngafu😁😁
 
I'm just 41. Nilianza biashara nikiwa ni ngali mdogo. Nimesha kuwa na dogs farm, nimefuga hadi nyuma sumu nikawa nauza nje hadi pale Corona ilipo strike.

Sasa nalima ufuta
Niandalie ekarii kadhaa nije tulime ufuta
 
hivi jf kuna wanawake pia kumbe!!!!
hapa ndo napochoka, mtu unatongoza id aisee wana roho ngumuu au hua kuna meetings watu wanathaminisha?

kweli JF utapata ulichoijia, sasa ulimfata pm mwenywe unalalamika nn kupigwa kizinga? malipo ya shobo hayo af unakuta unatumia dume sasa
 
Huwa najiulizaga,,hivi hao wanaoomba pesa kama walemavu hawafanyikazi?
Kumbuka mmeumbwa kupewa, ila sasa isiwe too much, omba kwa wastani tena kwenye ishu serious.

Ila hizi za kwenda kusuka, mara kutengeneza nywele huwa naona ni kero kwa kweli.
 
Kumbuka mmeumbwa kupewa, ila sasa isiwe too much, omba kwa wastani tena kwenye ishu serious.

Ila hizi za kwenda kusuka, mara kutengeneza nywele huwa naona ni kero kwa kweli.
Ukiombwa milioni tano au kumi utatoa?

Nanyie muwe mnajiongeza sio mpka uombwe
 
hahahahaha,dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…