Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Ukitaka kula sharti uliwe kidogo, sasa we unataka kula tu pekeake? Haiwezekanii!
Kwa kuongezea tyu kuna msemo alitupaga babu yetu fulani huko Selfika...
"There's no free lunch"


Nikitaka kupiga kizinga mtu Huwa naukumbukaga sana na kujiandaa kimwili na kiroho!πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa kuongezea tyu kuna msemo alitupaga babu yetu fulani huko Selfika...
"There's no free lunch"


Nikitaka kupiga kizinga mtubHuwa naukumbukaga sana na kujiandaa Physically and mentally πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚
Eeh hela utapewa ila lazma uandae ngozi kwa ajili ya kukandwa 🀣
 
Eeh hela utapewa ila lazma uandae ngozi kwa ajili ya kukandwa 🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kubalance equation muhimu weeee sio ndugu yako huyooo πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈ
 
Mkuu hata 1000 Hapana

Labda tu kwa mwanaume anaenikojolesha[emoji28][emoji28] ila haitafika 50,000
🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Ningeshangaa kusikia unajihusisha na shughuli za Finca🀣
 
Kama utaona ngozi yako mali basi acha mizinga ya ovyo ovyo.
 
Kama utaona ngozi yako mali basi acha mizinga ya ovyo ovyo.
Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Sio mbaya mama
ni kawaida sana
Mimi mzito sana kuomba hela hadi niombe maji yafike shingoni πŸ˜† .

ninasemaa shida niliyo nayo tu ukisaidia sawa .. siombi direct
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Mm mbona hawaji πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…