Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi una guts za kutoa hata 50K kwa mwanaume kweli?
Kwa kuongezea tyu kuna msemo alitupaga babu yetu fulani huko Selfika...Ukitaka kula sharti uliwe kidogo, sasa we unataka kula tu pekeake? Haiwezekanii!
Eeh hela utapewa ila lazma uandae ngozi kwa ajili ya kukandwa 🤣Kwa kuongezea tyu kuna msemo alitupaga babu yetu fulani huko Selfika...
"There's no free lunch"
Nikitaka kupiga kizinga mtubHuwa naukumbukaga sana na kujiandaa Physically and mentally 😁😁😁😁😂😂
HeeeeWanaume assist zao siyo ndogo
Mwingine anasema kasahau card anaomba assist atarudisha jioni..
😂😂😂😁😁😂😂😂😂😂😂 kubalance equation muhimu weeee sio ndugu yako huyooo 😁😁😁😂🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️Eeh hela utapewa ila lazma uandae ngozi kwa ajili ya kukandwa 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ningeshangaa kusikia unajihusisha na shughuli za Finca🤣Mkuu hata 1000 Hapana
Labda tu kwa mwanaume anaenikojolesha[emoji28][emoji28] ila haitafika 50,000
Ni noma sanaaa[emoji3][emoji3][emoji3]Wanakuaga na mizinga mirefu afadhali anaeomba buku mbili
Kama utaona ngozi yako mali basi acha mizinga ya ovyo ovyo.😂😂😂😁😁😂😂😂😂😂😂 kubalance equation muhimu weeee sio ndugu yako huyooo 😁😁😁😂🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️
Ukisikia yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌😂😂😂😂😁😁😁😁Kama utaona ngozi yako mali basi acha mizinga ya ovyo ovyo.
Heeee
Kwamba amesahau siku hizi kuna huduma za cardless
Huyu yupo mule mule tu .Ila G Mungu anakuona ujue 🤣🤣🤣! Ule Uzi tumekukosea nini kha!!
Umetuchambaje walai Ussshhhhuuuuunggguuuuuu 😌
Mademu mnawatesa hawa Watanzania fukaraDemu anapiga mizinga kichizi. Halafu akiomba vocha, ukimtumia voda ya buku 2 anakutukana, eti mi unanionaje? Mimi vocha ya buku 2 ya nini.[emoji23]
Sio mbaya mamaTinsley sophy27 cocastic Kiukweli Vizinga vya vocha/ kusuka/ king'amuzi nimepiga sanaaa 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Vingine hadi wanianze wenyewe ndio nachomekeamo 🤣🤣🤣🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️!!
Umefurahi nini Mkuu?🤪🙂🤣🤣🤣
Ndugu HA kwakuwa wote hawapo..nafikiri na swali halitojibika🤪🤪Sina wote wapo na mashemeji zangu, kwa umri uo 37+ kuna mtu yupo single? Are u single?
😂😂Mm mbona hawaji 😂😂Tinsley sophy27 cocastic Kiukweli Vizinga vya vocha/ kusuka/ king'amuzi nimepiga sanaaa 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Vingine hadi wanianze wenyewe ndio nachomekeamo 🤣🤣🤣🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️!!
Kuna vizinga vya aina 2Kama utaona ngozi yako mali basi acha mizinga ya ovyo ovyo.
CommentUmefurahi nini Mkuu?🤪
Usinifanyie hivyo mtoto wa mwanamke mwenzako 😊 au ni PM 😄😄Ndugu HA kwakuwa wote hawapo..nafikiri na swali halitojibika🤪🤪