Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Ukitaka kula sharti uliwe kidogo, sasa we unataka kula tu pekeake? Haiwezekanii!
Kwa kuongezea tyu kuna msemo alitupaga babu yetu fulani huko Selfika...
"There's no free lunch"


Nikitaka kupiga kizinga mtu Huwa naukumbukaga sana na kujiandaa kimwili na kiroho!😁😁😁😁😂😂
 
Eeh hela utapewa ila lazma uandae ngozi kwa ajili ya kukandwa 🤣
😂😂😂😁😁😂😂😂😂😂😂 kubalance equation muhimu weeee sio ndugu yako huyooo 😁😁😁😂🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️
 
Mkuu hata 1000 Hapana

Labda tu kwa mwanaume anaenikojolesha[emoji28][emoji28] ila haitafika 50,000
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ningeshangaa kusikia unajihusisha na shughuli za Finca🤣
 
😂😂😂😁😁😂😂😂😂😂😂 kubalance equation muhimu weeee sio ndugu yako huyooo 😁😁😁😂🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️
Kama utaona ngozi yako mali basi acha mizinga ya ovyo ovyo.
 
Tinsley sophy27 cocastic Kiukweli Vizinga vya vocha/ kusuka/ king'amuzi nimepiga sanaaa 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Vingine hadi wanianze wenyewe ndio nachomekeamo 🤣🤣🤣🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️!!
Sio mbaya mama
ni kawaida sana
Mimi mzito sana kuomba hela hadi niombe maji yafike shingoni 😆 .

ninasemaa shida niliyo nayo tu ukisaidia sawa .. siombi direct
 
Tinsley sophy27 cocastic Kiukweli Vizinga vya vocha/ kusuka/ king'amuzi nimepiga sanaaa 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Vingine hadi wanianze wenyewe ndio nachomekeamo 🤣🤣🤣🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️!!
😂😂Mm mbona hawaji 😂😂
 
Back
Top Bottom