Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

😂😂😂Duh
 
Angalieni na majina mnayojipa jaman 😂😂😂

Sijawahi kutana na Vibomu... jina tosha linawatuliza ngebe


Na wengine tushabadilishana mpaka Contact na tukaanza safari za mapendo ila hatujafika mbali walini-block😅
 
Kwenye huo uzi wa picha huwa anafuta Kuna mona ilisahaulika nenda kaitafute
Ukiikosa rudi nikuelezee jinsi alivyo😅
Kwahiyo mnatuchoraga tunavyoweka picha zetu kule na sura zetu mbaya si ndio ee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…