Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Sahihi Mkuu, na sio kwamba nafasi ya kuwasaidia hatuna, No isipokuwa vile Vizinga vya mara kwa mara ndiyo kero.

Na suala hili kadri linavyoendelea ndiyo nguvu za Kiume zinazidi kupungua.

Manake Mwanaume anakuwa stressed muda wote na ukiangalia unakuta amezama hasa kwenye Huba
😂😂😂Duh
 
Angalieni na majina mnayojipa jaman 😂😂😂

Sijawahi kutana na Vibomu... jina tosha linawatuliza ngebe


Na wengine tushabadilishana mpaka Contact na tukaanza safari za mapendo ila hatujafika mbali walini-block😅
 
Usinifanyie hivyo mtoto wa mwanamke mwenzako 😊 au ni PM 😄😄
8947E243-8769-4683-9218-2AFE31FCE5DF.jpeg
 
Back
Top Bottom