Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
hahahahaha,yeye anatoa mzigo kwa wakati?Huyu mjinga anataka akisema tu Nitumie 200,000 niwe namtumia. Nikimwambia sina anasema mimi mbahili. Na anafanya kazi anaishi mwenyewe. Hii mianamke ya hivi imekaa kwa style ya kujiuza tu.
View attachment 2476999
Kuna zuio ad bei ya unga ishuke 😄Kwenye kupiga mizinga sipo hata Kwa bahati iliyombaya..waache watajane wenyewe huko😄😄😄
Haya kama ipo,,fanya chap inifikie kabla watu hawajaona basi ndugu mwananchi mwenzangu 🤓🤓
Nlikuja mwambia abaki na K yake nami nabaki na pesa zangu. Win win situation. hajamaliza hata siku mbili akanipigia nimtoe pesa kidogo and blah blah blah.....hahahahaha,yeye anatoa mzigo kwa wakati?
Omba connection mkuu wapo wanaomjuahuyo wa dodoma anafaa,natamani kumjua aisee
kama hatoi mzigo achana naeNlikuja mwambia abaki na K yake nami nabaki na pesa zangu. Win win situation. hajamaliza hata siku mbili akanipigia nimtoe pesa kidogo and blah blah blah.....
Hata kama anatoa.... Sinunui kwa style hiyo.... Akae nao. Kuna sehemu napata bure ila natoa asante na ya mapenzi.kama hatoi mzigo achana nae
Hata kama anatoa.... Sinunui kwa style hiyo.... Akae nao. Kuna sehemu napata bure ila natoa asante na ya mapenzikama hatoi mzigo achana nae
dah inabidi nifanye hivyo,huyo anaonekana anajuaOmba connection mkuu wapo wanaomjua
Mimi nilijua zuio kwa sababu ya mafuta yamepanda bei..kumbe ni unga rafiki yangu…Kuna zuio ad bei ya unga ishuke 😄
hahahaha,Hata kama anatoa.... Sinunui kwa style hiyo.... Akae nao. Kuna sehemu napata bure ila natoa asante na ya mapenzi
Aiseee…hongera sana..aina yako huwa hamtakagi mambo mengi ni nipe nikupe😁yeah kipenzi,nawapendaga wa hivyo
Swadakta,na hakuna kulalamika vijiweniAiseee…hongera sana..aina yako huwa hamtakagi mambo mengi ni nipe nikupe😁
Huyu wa Dom nlishawahi kumsema akaja yeye na mwenzie kunishambulia....leo amekutana na kisu kingine....We mdada wa DODOMA ,NJOO PM,TUYAJENGE KDG
Mleta mada anataka kuwachafua watu wa Dodoma Sasa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
ni yupi huyo,namtamani aje kunipiga mzingaHuyu wa Dom nlishawahi kumsema akaja yeye na mwenzie kunishambulia....leo amekutana na kisu kingine....
Yapo yanayovumilika tatizo mabinti hawajiongezi na kujitambua.Upendo huvumilia yote, upendo hauhesabu mabaya
Wasione mwenzao kapewa iphone14Yapo yanayovumilika tatizo mabinti hawajiongezi na kujitambua.
Wanafuata mikumbo tuu
😁😁😁😁😁Na yeye atataka Halafu mbaya zaidi Hana matumizi nayo na hajui inatumika vipi.Wasione mwenzao kapewa iphone14
😘😘😘😘😘Amen, mbarikiwe pia mnaopokea kidogo chetu kwa upendo na kufurahia huku mkituombea tuzidishiwe zaidi. Wanawake waelewa I love u forever