Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unataka nifanyeje ndugu Mtanzania mwenzangu?vya kurithi vinazidi ujueAnacheka 😃
MwambieSio poa wewe una lako jambo .. kuna visu vikali mule wadada wazuri na wakuvutia .
Nasikia wanasema cha kirithi ni mara tatu zaidi.Sasa unataka nifanyeje ndugu Mtanzania mwenzangu?vya kurithi vinazidi ujue
Wewe sasa😄😄Hapana kungwi..mafunzo nayazingatia sana siwezi kupuyanga😂
Eheee vya kurithi vinazidi mara dufu..na ndio maana nikaomba connection ya babu yako mzaa babu yakeNasikia wanasema cha kirithi ni mara tatu zaidi.
tayari kafika kule 😅Mwambie
unapenda mizimu 😄Eheee vya kurithi vinazidi mara dufu..na ndio maana nikaomba connection ya babu yako mzaa babu yake
Mizimu ni mizuri itanilinda kila mahali.unapenda mizimu 😄
ipo, taratibu kuna wa dodoma alietajwa asijeonaMizimu ni mizuri itanilinda kila mahali.
Una 50💵 hapo ndugu mmarekani mwenzangu
huyo wa dodoma anafaa,natamani kumjua aiseeipo, taratibu kuna wa dodoma alietajwa asijeona
Kwenye kupiga mizinga sipo hata Kwa bahati iliyombaya..waache watajane wenyewe huko😄😄😄ipo, taratibu kuna wa dodoma alietajwa asijeona
Weeeeekama mdada anapiga mzinga ,na yeye sio mchoyo ktk mambo yetu,huyo ANAFAA SANA
yeah kipenzi,nawapendaga wa hivyoWeeeee
Wadodoma ni kama vile kila siku tunaongoza league za JF😅