Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
πππππNikiwa narudi nitapita pale shoppers nikuletee chocolate, najua hakutakuwa na kesi tena.
Baba ukimjua mwanaπ
Hapa baba atafanya makosa kila siku yale ya makusudi, utamuagiza kalamu za kuchorea atajifanya amesahau, baada ya week analeta box zima na choco, case solved..!!