Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
KabisaMambo yake tumuachie mwenyewe Walai!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMambo yake tumuachie mwenyewe Walai!
Viumbe wenye jinsia "me" tnafahamiana ,usifiche urembo huo wewe😅..nitakufungulia uzi wa kukusifia lengo ni ku wa direct kitu kizuri kilipoNdugu kungwi hakuna kitu kizuri kama kuwa miss independent 😀😀chaaaaeeeee…
💯 hakuna atakaekuja kungwi 😊😊
Mbappe achana nae huyu ni kama kaka yetu Kwa sasa😁😁Si umeshauunga na Mbappe wenu🤣
Sijakubania karibu sana
🤣🤣msihofu nanyie niwarembo tuuInatosha kutusema na huu weusi wetu jamani😄😄
Bora umetupa moyo🤣🤣msihofu nanyie niwarembo tuu
Nikiwa narudi nitapita pale shoppers nikuletee chocolate, najua hakutakuwa na kesi tena.Haha,
Sikubali, labda upitie supermarket uje na kiomba msamaha..!!
We mganga?! 🤔Sanaaaa, nikuelezee binti kungwi? Nikiona picha tu naweza kufahamu Hadi the way unavyoongea,vile unanukia ,vile unatembea 😅..Hadi unabehave kwa partner wako
Kungwi naomba nikuhakikishie nakugawa bure😄😄Viumbe wenye jinsia "me" tnafahamiana ,usifiche urembo huo wewe😅..nitakufungulia uzi wa kukusifia lengo ni ku wa direct kitu kizuri kilipo
Hujakosea ndugu😅We mganga?! 🤔
😅Kungwi naomba nikuhakikishie nakugawa bure😄😄
Hao mnaowatumia vocha cjui pesa wakija pm mnajuaje km ni wa kike na hamjawahi kuonana
Mfumo dume na hapo wanataka 50 kwa 50 wakati hawana roho ya kutoa ila wana roho ya kupokea tu.Ninakazia. Jamii ina kitu cha kufaya. Wadada wengi wana syndrome ya kuomba omba. Very disgusting.
Hao kina kaka ni watu wabadi sana 😄Mbappe achana nae huyu ni kama kaka yetu Kwa sasa😁😁
Umenibania bhana…yani umeshindwa kunigawia hata babu yenu mzaa babu yake kweli nikapbana nae tu.shida yangu ni kupata kuwa na mwanaume anaejua majukumu Yake Kwa mwanamke🤪
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila nchi yenyewe omba omba unategemea wananchi tuweje! Mtupe tu hizo hela[emoji23]
[emoji1787]Kwamba serikali ya Tanzania ni malaya[emoji23][emoji23]acha makasiriko toa hela