Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nimeshawahi ifanya mwaka 2011 nili createa I'D nikawa najiita rola nilikuwa natumiwa sanaaaa namba za vocha pm nilikuwa na nyodo balaa na wajinga wakawa wanashoboka. Invisible akai emerge

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Kama gilesi makalio kutingishika.
 
Vijana wa JF mbadilike muwe wanaume sasa, 90% ya wanawake wa mitandaoni ni Omba omba/Njaa kali, ukiona amekuvutia kimapenzi mtajie dau lako akiona linafaa mmalizane kila mtua aendelee na mambo yake. Simping culture itawatafuna sana msipobadilika.

Mimi binafsi mwanamke akiniomba pesa huwa namshusha thamani muda huo huo na kifuatacho huwa ni block ama kutokujibu Sms wala kupokea simu zake. Nikikuomba namba huwa nina maelekezo machache sana [lini uko free, tunaweza kuonana usiku huo], ikitokea umeelekea kibra nakuomba shoo, baada ya shoo nakuachia nauli kulingana na performance yako, baada ya hapo sitokutafuta na wala sipendi uanze kunitumia tumia message, nikihitaji huduma yako tena nitakutafuta mimi mwenyewe. Kwa mfumo huu Stress za vizinga na mapenzi huwa nazisikia tu hapa JF. Maana kuliko uanze kunisumbua kwa vizinga vya buku 10 10 ni bora uje tupate vinywaji na chakula unipatie shoo murua then nikupatie posho yako kwa pamoja
 
Ukweli ni kwamba;
1. Traffic wakiacha kuomba rushwa barabarani kuna magari hayatapita barabarani...madereva mnaelewa hili

2. Kadhalika madada wakiacha mizinga...malizieni wenye akili🤣🤣🤣

Vizinga vinawabeba baadhi ya wanaume hamjui tu
 
Back
Top Bottom