Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Mambo yao tuwaachie wenyewe ,alaf wawezakuta wanalalamika na bado wanatuma na zakutolea
 
Mbappe achana nae huyu ni kama kaka yetu Kwa sasa😁😁

Umenibania bhana…yani umeshindwa kunigawia hata babu yenu mzaa babu yake kweli nikapbana nae tu.shida yangu ni kupata kuwa na mwanaume anaejua majukumu Yake Kwa mwanamke🤪
Hao kina kaka ni watu wabadi sana 😄

Babu wanini na wajukuu tupo tele hadi PM tunafika na tumerithi kujua majukum yetu. Alafu nmerithi kwa babu mzaa babu unayemtaka
 
Back
Top Bottom