Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Hukunitaarifu..!! Hii imekuja ghaflaMbona kitambo sana[emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukunitaarifu..!! Hii imekuja ghaflaMbona kitambo sana[emoji28]
dahh! Tafadhali usiache kumsaidia huyo Mama.. muweke kwenye ratiba yako, ni sadaka kubwa mno! Kusaidia wajane na mayatima... unalipwa malipo makubwa sana! Utaona tu matunda yake hata kwa wanao.
Tafadhali usimuache huyo Mama
Waombeni sana mpaka wawakimbie ndio dawa
Kutwa ngono
Ngoja nimwambie kesho aanze kukufundisha peke yako😂[emoji1787]somo limegoma kuingia kwakweli
Unaunga mkono umalaya na uchepukaji... ngoja upeleke ukimwi nyumbani ndo utaelewa ☻👍🏾Hutoona tatizo la mapenzi tenaaaa.
Big up sanaa.
Sijui ni nani alianzishaga huu utaratibu kwamba mapenzi lazima yaendane na mali na pesa...🤔🤔🤔Yaani siku hizi hadi vijijini wanaambiana wanawake angalia mfuko wa Mwanaume kama umenona!
Mapenzi yalikuwa zamani siku hizi ni maslahi kwanza!
Unconditional love is rare to find!
Sitoi Sadaka hadharani hivi kila mtu ajue 😊Na wewe nikupe namba umrushie chochote
We ndo umeona wazo au suluhisho zuri kwa upande wako au sio?!Mwanaume anashida moja..akiona unampenda sana anakutesa..sasa ili kubalance mambo unakuwa na mbadala siku akileta miyeyusho chap unahama unaenda ota sehemu nyingine
Kwa sababu Hutaki shobo komredi 😃😃👍🏾Nipo JF tangu 2013,,but sijawahi kumfata mwanamke PM,nikafanye nini??....
Nakuja pmSitoi Sadaka hadharani hivi kila mtu ajue 😊
Lakini naweza kuungana nawe kumsaidia na niko tayari ila hili si la kulizungumzia hadharani
Hahaha kupasuana kichwaKwa sababu Hutaki shobo komredi 😃😃👍🏾
Papuchi zipo Snapchat, Exotic na tinder... hizi za JF za nini?!
Natumai unayaishi maneno yako.Iwe mwanamke au mwanaume, tabia ya kuomba omba hela kama huna mikono si nzuri. Kwanza unajishusha hadhi yako, kijana una nguvu zako, kwanini umuombe mtu mwingine?
Umetongozwa unaanza mizinga!
Kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije? akikupenda atakupa kama mpenzi wake, acheni umatonya.
Kwa 100%Natumai unayaishi maneno yako.
Mumeo, mchepuko, mpenzi wako au BF wako wana raha... kama hawajanenepa hao wana roho mbaya 😅🙌🏾Kwa 100%
Yupo humu atasoma, ananijua vizuri kwenye hiyo idara. Ataona na comment yako Mkuu. AsanteMumeo, mchepuko, mpenzi wako au BF wako wana raha... kama hawajanenepa hao wana roho mbaya 😅🙌🏾
Aloo yamekuwa hayo tena! Labda hajawapenda,akimpenda mtu mbona fresh tu anampa free tu. Kumbuka huyo ni mtoto wa kihuni wa KinondoniJana wana JF kadhaa wenye club yetu fulani hivi amazing tulikuwa tumekutana The Wine Coutry kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023.
Wanawake tulikuwa wawili tu, mimi na bidada mwingine na wanaume idadi yao ilikuwa kumi na kitu.
Jamani miongoni mwa mambo ambayo wanaume wanayaona ni kero ni swala la kupiga mizinga.
Wanawake tena mmetajwa kwa majina ambao mnashinda inbox mki zingalaizi. Mara mama anaumwa, mara dada kagongwa na bodaboda, mara nitumie hela ya kusuka nywele mara sina ada ya watoto.
Jamani kwa kweli mnahoyafanya huko PM aibu nimeona mimi. Ukitongozwa ndio usiseme. Hata kama una kazi ya ajira, tena mwajiriwa wa serikali, unaomba kuanzia vocha hadi hela ya chupi.
Wewe uko Dodoma mwanaume yuko Dar hajawahi hata kukulala zaidi ya kuonana mara moja na tena ulikuwa kwenye siku zako.
Nimekutaja wewe dada wa Dodoma sababu umekuwa na tabia ya kuwatongoza wanaume na baadae unaanza kuwa kero kwao na mizinga unayowapiga.
Jamani nawakaribisha Lindi tulime ufuta mbona kilimo poa tu, unapata hela ya kukukimu na huadhiriki.
2023 tubadilikeni jamani