Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Mimi juzi kuna yupo aliniomba 1000, nikamuuliza ya nini ,kasema ,
Ya kununulia mkaaa.

Kuna wanawake wanatia kichechefu balaa ,skujui hunijui unaomba 1000, alafu social media yupo active muda mwingi, hiii tabia sio nzuri ni kama kujidhalilisha tu.

Huyu mwanamke nilimnyima ni kama kumdekeza bila sababu, ndo kwanza januari.

Buku jamani uwii kuendekeza njaa
 
Sana unaombaje buku mtoto wa kike?? kama umeamua kupiga vizinga basi piga vizinga vya maana
Eti buku jamani chaah 😁
Hata vocha haitoshi.


Kwanza wanakuwaje na wanaume ambao hawajiongezi!
Yaani eti mtu anasubiri hadi umuombe jamani.. Wanaume responsible wanatoa bila kuombwa.
Kikubwa na kuvumilia na kujiweka katika standard za kupewa bila kuomba.
 
Kwenye hicho kikao sikuwepo HA.

Hapana hakomolewi mtu hapo ni kuuridhisha moyo na kuuweka mbali na mazingira hatarishi😆
Uwe unahudhuria vikao vyenu na kuulizia ajenda iliyojadiliwa.

Unataka kutukomolea mwenzetu, kunywa lewa moyo utaridhika 😄
 
Ongeza kasi mpaka moyo upige makofi
A80F8BD2-199B-4263-AC2E-120A42EC5898.jpeg
 
Back
Top Bottom