Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Mleta mada anataka kuwachafua watu wa Dodoma Sasa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada anataka kuwachafua watu wa Dodoma Sasa.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mimi juzi kuna yupo aliniomba 1000, nikamuuliza ya nini ,kasema ,
Ya kununulia mkaaa.
Kuna wanawake wanatia kichechefu balaa ,skujui hunijui unaomba 1000, alafu social media yupo active muda mwingi, hiii tabia sio nzuri ni kama kujidhalilisha tu.
Huyu mwanamke nilimnyima ni kama kumdekeza bila sababu, ndo kwanza januari.
Ngoja mtoa mada aje alete 1st eleven ya sisi Dodoma Ombaomba FC[emoji23]
Dunia inaenda mbio Nkamu😂Nkamu naomba uwe unaniita napitwa sana
ila kanistua kututaja watu wa Dodoma kwamba sisi ndiyo ombaomba sana[emoji1787][emoji1787]
🤣Buku jamani uwii kuendekeza njaa
Dunia inaenda mbio Nkamu[emoji23]
Unaweza jikuta umeanikwa jukwaani na habari hauna[emoji1787]
[emoji1787]
Ila kuomba hela kipaji aisee
Eti buku jamani chaah 😁Sana unaombaje buku mtoto wa kike?? kama umeamua kupiga vizinga basi piga vizinga vya maana
Uwe unahudhuria vikao vyenu na kuulizia ajenda iliyojadiliwa.Kwenye hicho kikao sikuwepo HA.
Hapana hakomolewi mtu hapo ni kuuridhisha moyo na kuuweka mbali na mazingira hatarishi😆
Nitajitahidi Kwa kiwango kizito ndugu mmarekani mwenzanguUwe unahudhuria vikao vyenu na kuulizia ajenda iliyojadiliwa.
Unataka kutukomolea mwenzetu, kunywa lewa moyo utaridhika 😄
Ongeza kasi mpaka moyo upige makofiNitajitahidi Kwa kiwango kizito ndugu mmarekani mwenzangu
Ongeza kasi mpaka moyo upige makofi
😅 kumekuchaaa
Kwa mfanoNipo JF tangu 2013,,but sijawahi kumfata mwanamke PM,nikafanye nini??....
Labda kumuomba helaKwa mfano
Kitu gani?kuna kitu nimejifunza hapa ktk huu uzi
[emoji1787]somo limegoma kuingia kwakweliKwamba Somo la mtoa mada halijakuingia Mjukuu [emoji847][emoji125][emoji125]
Utafanya nimlipe perdiem aje akufundishe peke yako [emoji2957]