Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Pole sana kwa yaliyokusibu, watu huwa wanasahau kuwa shida haziishagi, zipo ukisaidika leo haimaanishi ndio haitokaa itokee kwako tena. Huyo kashavunja uaminifu na sidhani kama ataweza kuujenga.
Alipatwa shida huwez amini niliejitokeza mim tu nikajiuliza huyu hana marafiki au ndugu wa karibu
Unajua hata ukiwa mbaya kiasi gani kila mtu huwa anakuw ana watu wake wa karibu wa kwenye shida na raha yeye hakuna,nikasema huyu atakuwa na shida sana
 
Kuna watu wana shida sana hajui hata atakula nin wakati we umeweka mchele ndani,mafuta kila kitu na unalia eti una shida 🙆🏼‍♂️🙆🏼‍♂️
Maisha ni kama kiganja na vidole, kuna wenye vidole vimetofautiana urefu(uwezo haulingani) na kuna ambao hawana hata viganja (Hawana kitu kabisa). Kuna mda ukijaaliwa chochote kitu mshukuru Mungu na ukiona inafaa na ipo ndani ya uwezo wako toa kwa wahitaji.
 
Alipatwa shida huwez amini niliejitokeza mim tu nikajiuliza huyu hana marafiki au ndugu wa karibu
Unajua hata ukiwa mbaya kiasi gani kila mtu huwa anakuw ana watu wake wa karibu wa kwenye shida na raha yeye hakuna,nikasema huyu atakuwa na shida sana
Huyo tayari anazo tabia za kitapeli na uzulumishi ni nadra sana mtu wa aina hiyo akawa na watu wa kumsaidia hasa kwenye jambo linalohusiana na fedha. Alichokifanya kwako ni picha halisi ya anachokifanya kwa wengine, wewe unamsaidia kwakuwa unayo huruma.
 
Huyo tayari anazo tabia za kitapeli na uzulumishi ni nadra sana mtu wa aina hiyo akawa na watu wa kumsaidia hasa kwenye jambo linalohusiana na fedha. Alichokifanya kwako ni picha halisi ya anachokifanya kwa wengine, wewe unamsaidia kwakuwa unayo huruma.
Nilijiambia hivyo kabisa kama wewe ulivyowaza maana alijirudisha kwangu haraka sana nikajua huyu kajirudisha anajua hana mwingine wa kumfariji kwenye matatizo yake na nadhan anataman sana turudi kama zamani haiwezekan na nadhan huwa nafanya kwaajili ya watoto tu lingekuwa lenyewe nishalifuta kabisa 😂😂😂
 
Maisha ni kama kiganja na vidole, kuna wenye vidole vimetofautiana urefu(uwezo haulingani) na kuna ambao hawana hata viganja (Hawana kitu kabisa). Kuna mda ukijaaliwa chochote kitu mshukuru Mungu na ukiona inafaa na ipo ndani ya uwezo wako toa kwa wahitaji.
Ukitaka kujua kama uja shida muangalie wa chini yako
 
Nilijiambia hivyo kabisa kama wewe ulivyowaza maana alijirudisha kwangu haraka sana nikajua huyu kajirudisha anajua hana mwingine wa kumfariji kwenye matatizo yake na nadhan anataman sana turudi kama zamani haiwezekan na nadhan huwa nafanya kwaajili ya watoto tu lingekuwa lenyewe nishalifuta kabisa 😂😂😂
Kuwa makini huruma yako isije ikakuponza
 
😂😂😂 kuna rafiki huniambia hivi umeandikiwa na daktari eti
Kuna rafiki yangu aliniudhi kitu nililia mwez nikikumbuka tu nalia ,uzuru huwa nna watu wananibembeleza na hawanichoki 😂😂😂
Heee wewe😆😆😆unalia mwezi mzima…mfereji wa machozi naona unakuwa umetoboka.

Hivi Half american unaliamini hili ndugu yangu?au anatufunga mnyororo
 
Back
Top Bottom