cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vunga basi kipenzi changu[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vunga basi kipenzi changu[emoji16][emoji16]
Hujambo kipenzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itabidi mfungue kampuni yenu 😄Half american mwanachama mwingine huyu hapa😄
Sijambooo kipenziiiHujambo kipenzi
Tena wazo la kufungua kampuni limekuja wakati sahihi kabisa🤣🤣🤣Itabidi mfungue kampuni yenu 😄
So great to hear that from you.Sijambooo kipenziii
Mic u [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Vilizi too emotional ltd company 😁Tena wazo la kufungua kampuni limekuja wakati sahihi kabisa🤣🤣🤣
Muone
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆nimeshindwa kujizuiaVilizi too emotional ltd company 😁
Tokea mdogo nilikuwa mama kulia kuliaHalf american mwanachama mwingine huyu hapa😄
😆 usilie sasa madam C.E.O😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆nimeshindwa kujizuia
😂😂😂 kuna rafiki huniambia hivi umeandikiwa na daktari etiItabidi mfungue kampuni yenu 😄
Hongera mkuu, kutoa ni moyo sio utajiri.Tokea mdogo nilikuwa mama kulia kulia
Nikiangalia movie ya kusikitisha machoz yanatoka tu ,kuna siku nilienda sehemu moja hivi nikaonana na mama mmoja hivi ukimuona ana shida sana hajui hata atakula nin mpaka akafanye vibarua vya kulima lima akikosa ndio imetoka hivyo,nikiwa njiani nililia nikamuambia Mungu asante kwa kila kitu kuanzia leo sitalalamika chochote na unisamehe sana huwa nalalamika mim nna shida kuna watu wana shida
Yule mama nilimoa 10000 alishukuru utafikiri nimempa pesa nyingi na unamuona kabisa ,nikasema ningekuwa kiongozi nisingeacha watu wahangaike hivi wamama wajane
Huwa nikiwa na kitu namtumia anashukuru sana na hajawah niomba chochote kabisa
Kama yupo wa kukubembeleza na kukufuta machozi lia, sasa ulivyolia mwez mzima ilikua n hasira au ?😂😂😂 kuna rafiki huniambia hivi umeandikiwa na daktari eti
Kuna rafiki yangu aliniudhi kitu nililia mwez nikikumbuka tu nalia ,uzuru huwa nna watu wananibembeleza na hawanichoki 😂😂😂
Alinipiga pesa 🙆🏼♂️🙆🏼♂️Sikuamin kama ni yeye siku najua nilishindwa kufanya chochote nilikuwa nafanya kazi nikaacha nikaondoka Boss akawa ananiita sikuitika nikaenda lala bora nilikuwa mbali nadhan ningekuwa karibu ningemuua ,mama angu alikuwa ananipigia simu ananibembeleza ananiambia sali mtoto wangu acha utapata zaidi pesa ni vitu vya kupita ,nikapiga simu awekwe ndani ikabidi nikalishwe kikao kuwa ana mtoto mdogo akiwekwa ndani mtoto ataangaliwa na nani ,nilikuwa nalia mpaka bwana angu akanirudishia zile pesa akaniambia haya unyamaze unaweza lia hata mwaka wewe 😂😂😂 alikuwa na kazi ya kuninyamazisha kila nikilia ,nilisamehe ila urafiki haupo kama zamaniKama yupo wa kukubembeleza na kukufuta machozi lia, sasa ulivyolia mwez mzima ilikua n hasira au ?
Sio hasira nakuwa naumia siamini ni huyu kweli ,sas anikiwaza tu machozi hayooo 😂😂😂Kama yupo wa kukubembeleza na kukufuta machozi lia, sasa ulivyolia mwez mzima ilikua n hasira au ?
Kuna watu wana shida sana hajui hata atakula nin wakati we umeweka mchele ndani,mafuta kila kitu na unalia eti una shida 🙆🏼♂️🙆🏼♂️Hongera mkuu, kutoa ni moyo sio utajiri.
Pole sana kwa yaliyokusibu, watu huwa wanasahau kuwa shida haziishagi, zipo ukisaidika leo haimaanishi ndio haitokaa itokee kwako tena. Huyo kashavunja uaminifu na sidhani kama ataweza kuujenga.Alinipiga pesa 🙆🏼♂️🙆🏼♂️Sikuamin kama ni yeye siku najua nilishindwa kufanya chochote nilikuwa nafanya kazi nikaacha nikaondoka Boss akawa ananiita sikuitika nikaenda lala bora nilikuwa mbali nadhan ningekuwa karibu ningemuua ,mama angu alikuwa ananipigia simu ananibembeleza ananiambia sali mtoto wangu acha utapata zaidi pesa ni vitu vya kupita ,nikapiga simu awekwe ndani ikabidi nikalishwe kikao kuwa ana mtoto mdogo akiwekwa ndani mtoto ataangaliwa na nani ,nilikuwa nalia mpaka bwana angu akanirudishia zile pesa akaniambia haya unyamaze unaweza lia hata mwaka wewe 😂😂😂 alikuwa na kazi ya kuninyamazisha kila nikilia ,nilisamehe ila urafiki haupo kama zamani
Yashapita urafiki umerudi lakin sio kama zamani nilivyokuwa nae katika watu akiwa na shida anamtegemea na mim nipo ananitafuta naenda kumuona .
Mwez wa 12 alitakiwa agawane pesa za vicoba si pesa mwanakikundi kakimbia nazo halaf analia kwangu tena 😂😂😂
Nikajiambia huyu ananiambia tena hivi hajui nitamcheka 😂😂😂