Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mungu ni mkuu sanaKila mtu akabaki anakuogopa na kukushangaa mzee mzima ulivyoamka ukajipangusa vumbi alafu huyoooo ukaenda zako ๐๐๐๐๐พ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu ni mkuu sanaKila mtu akabaki anakuogopa na kukushangaa mzee mzima ulivyoamka ukajipangusa vumbi alafu huyoooo ukaenda zako ๐๐๐๐๐พ
Nilikuta ni kikoba cha wote waume kwa wakeHivi ndume nazo zinachezaga hiyo mikoba?
Mimi kama mkazi wa Dodoma nimesikitishwa na hizi tuhuma.Kabisa hatutaki mbamba labda walijua wakisema Dodoma hatutajitokeza wakazi wa Dodoma...naona umekuja kutusaidia hahahaha umehamia Dom siku hizi
hahahaha,itakua mko wachacheNafikiri siko katika kundi la wanawake wapiga mizinga.eyoo cowboy yeyooooo๐๐
naja kuchukua hela yanguNjoo nikupige kizinga.
Naogopa ๐ข๐ฐ๐๐๐๐Yesu Wangu.
Kwahiyo mimi ni me duh๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ njoo Pm mkuu nikutumie picha yangu
Sina๐๐๐naja kuchukua hela yangu
Unapotazama kitu cha namna ile ni ngumu picha kutoka kichwani kwako... inapelekea vichochezi vingine vikali vya hisia na kuwa mraibu nguli wa punyeto... ina athari kubwa sana!Sifahamu hila naisikia [emoji23][emoji23][emoji23]
muda wote siku zote!Mungu ni mkuu sana
๐๐๐Watu wa Dodoma tumefikiwa
Hatari snMizinga ni tatizo la kiakili
U got a caring heart ni vizuri.Maisha haya ni bora kuwa mtoaji kuliko mpokeaji.
Amen Half American.
Huu moyo Sijui nimeutolea wapi aise.naweza kumuonea mtu huruma mpaka machozi na kwikwi(hususani nikiwa siko katika nafasi ya kumsaidia ๐ฅน๐ฅน)
Ngoja sasa nikuchekeshe ndugu mmarekani mwenzangu๐๐kuna siku nimepiga vyombo vyangu kiaina..nikakutana na kitoto kidogo kinafanya biashara saa hiyo ni saa tatu na nusu usiku๐ฅน๐ฅนhajala na hajauza biashara zakeโฆaise nililia mnooo..yani nililia sana kuliko kawaida.
Baadae nikaja kujiuliza hivi kwanini nalilia vile?๐๐nikagundua kuwa kumbe nikipiga gambe huwa nashindwa kuuzuia moyo kabisa.
๐ ๐ mie phaller sana.Niko too emotional ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Niwapeleka tukala pamoja(aise walikuwa na njaa jamani)then nikawapatia kiasi cha pesa wampelekee mama yao.U got a caring heart ni vizuri.
Baada ya kulia ulimpa chochote?
Wewe na jamaa yangu mmoja ni mapacha kabisa, akitupia vitu anakua too emotional kama ni kulia basi atalia sana sometimes ad gambe lipungue. Nna imani haya umeyaandika ukiwa normal mmarekani, sio ukiwa upiga vyombo.
Isijekuwa now unalia maana upo too imoshono adi kutype koment ๐Niwapeleka tukala pamoja(aise walikuwa na njaa jamani)then nikawapatia kiasi cha pesa wampelekee mama yao.
Ndugu mmarekani mwenzangu Niko too emotional(pasipo hata kupiga vyombo ndivyo nilivyo)ninakuwa mara mbili yake nikipiga masanga sasa.
Kuna siku nitakuja na uzi wa mtoto wa Dodoma pale msalato(ngoja niendelee kumfuatilia kwanza)ninaimani nitapata mawili matatu kutoka kwa wanajf
Nimecheka ujue..๐Isijekuwa now unalia maana upo too imoshono adi kutype koment ๐
Ulifanya vizuri Mungu akubariki wewe na kizazi chako, umetoa sadaka ya upendo kwa wahitaji.
Ukija na huo uzi wa mtoto wa Dom msalato utanitag/mention, naamini nitazidi kujifunza kitu kutoka kwako no mara waa. ๐
Nafurahi kuona mimi ni sababu ya kicheko chako๐ฅฐNimecheka ujue..๐
Ai wee..kulia mpka big user na kitu kizito sio kulia kizembe hivyo๐
Amen na ikawe kama unenavyo mwana wa Mungu
Wewe siwezi kukuacha.utaniletea na huyo jamaa ako siku nikitaka kulia nimwambie tulie pamoja..no mara waa
Kwakweli hilo andazi ni hatarii hahahh
Hizi tuhuma zimetushtua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kumbe watoto wa Makao Makuu tupo wengi kiasi hiki..??