Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

dahh! Tafadhali usiache kumsaidia huyo Mama.. muweke kwenye ratiba yako, ni sadaka kubwa mno! Kusaidia wajane na mayatima... unalipwa malipo makubwa sana! Utaona tu matunda yake hata kwa wanao.


Tafadhali usimuache huyo Mama

Na wewe nikupe namba umrushie chochote
 
Yaani siku hizi hadi vijijini wanaambiana wanawake angalia mfuko wa Mwanaume kama umenona!

Mapenzi yalikuwa zamani siku hizi ni maslahi kwanza!

Unconditional love is rare to find!
Sijui ni nani alianzishaga huu utaratibu kwamba mapenzi lazima yaendane na mali na pesa...πŸ€”πŸ€”πŸ€”



Tukimpata huyo tutamtandika viboko vingi sana! πŸ˜…
 
Mwanaume anashida moja..akiona unampenda sana anakutesa..sasa ili kubalance mambo unakuwa na mbadala siku akileta miyeyusho chap unahama unaenda ota sehemu nyingine
We ndo umeona wazo au suluhisho zuri kwa upande wako au sio?!

Huwa nyinyi wenyewe mnajitoa chambo kwa vijana wa mtaani, bodaboda, walinzi, vinyozi na wauza mabucha.... mkijidanganya kuwa mnatafuta tulizo la nafsi au faraja πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ‘πŸΎ

Vilevile, binafsi naamini wanawake huwa mnaongoza kupelekega ukimwi na maradhi mengine kwenye ndoa zenu kuliko wanaume.

Kutafuta mchepuko sio suluhu ni kuzidisha matatizo na misongo ya mawazo!

Mhenga mmoja alisema "Mwanamke mjinga anavunjaga ndoa yake kwa mikono yake yeye mwenyewe"
 
Unalala na mwanamke unajua kabisa wallet ina sh kazaaa unaamka unakuta kuna pungufuu aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawa viumbe shidaa sanaaa ukimuitaa mwizi anaona unamdharauu kumbe tamaa zao ndo zinawaponzaa
 
Natumai unayaishi maneno yako.
 
Aloo yamekuwa hayo tena! Labda hajawapenda,akimpenda mtu mbona fresh tu anampa free tu. Kumbuka huyo ni mtoto wa kihuni wa Kinondoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…