Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue kuna vizinga vingine hutaki kutoa jibu kwamba SIKUTAKI unaamua kupiga kizinga cha kumkimbiza mtu😬🤣🤣Cheka utanue mapafu dear!! Jf sitrokiiiii 😁😁
😂😂😂Sasa unateseka nini? Wengine shamba lao ni mifuko ya watu.
Na hicho chama chenye wanawake 2 na wanaume zaidi ya 10, kitakuwa batili, refer 2022 sensa ya watu na makazi.
Pm ya nini sasa🤣 🤣 🤣 Nichecki PM Mkuu. Usiwaze
😂😂😂😂Mama Samia alisema,"bahati mbaya Sana wanaume ndio wambea kuliko wanawake"......Kuna yule muomba lunch
Na wadada hata hawasemagi
Ila wao watoto wa pharao
Mafriji hayagandishi
Na unakuta nao ving'ang'anizi kweliiii wasingekua wanaanza wao hizi hekaheka zisingekuepo!Ujue kuna vizinga vingine hutaki kutoa jibu kwamba SIKUTAKI unaamua kupiga kizinga cha kumkimbiza mtu😬🤣🤣
Ndio watulie,maana wengine mkute hata wanatongoza wanaume wenzao,maana humu watu Ni Anonymous mnatongoza Avatar ukute mtu anajifanya mdada kumbe ana shughuli zake za utapeli......binafsi ukija kunitongoza PM nitakupigia tu mzinga utanikimbia mwenyewe
Sasa unadhani ningeacha? Nilikuwa nakutega tu, na umejaa kwenye mtego😄😂😂😂😂
Mwanamke akisema hapana anamaanisha ndiyo, sasa acha ujionee tofauti na Vodacom..!!
Haha..
Kama kipaji pekee tuko nacho ni kuomba je.? Jasiri haachi asili na akiacha asili hana akili..!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂Mama Samia alisema,"bahati mbaya Sana wanaume ndio wambea kuliko wanawake"......
Waache hiyo tabia ya kujirahisisha, shida zipo hatukatai ila kumlilia kila mtu shida ni ujinga.Sasa mkuu nini kifanyike
Mjomba aje JuniaWewe humtaki kweli huyo bwana anae muonga kweli?
Kwa upande mwingine hao wanao toa pesa zao wajinga una anzaje kumpa mwanamke pesa hilihali yeye amekugeuza danga lake acheni ubwege ninyi midume ya ovyo na mtatapeliwa sana ukipigwa mzinga usilalamike umeyataka mwenyewe
Mwanamke akutongoze na bado umuonge sifanyi uho ujinga nitakuonga kama mimi ndio nimekutongoza napo kwa umakini sana maana mimi pia nina mizinga ya kutisha
Niache nisome komenti 🤣🤣Af sijawahi kufunga huu uzi ujue🤣🤣
Acha uoga,tafuta hela.😁Hilo huwa nalijua mapema hata kwa kuangalia comments tu, ndomaana sijawahi hata kufikiria kuzama huko DM kwako kwahiyo vizinga utawapiga haohao.
Tukirudi kwenye point ya msingi nafikiri hilo swala la wanaume kujifanya wanawake linafikirisha, na linaweza kuwa na ukweli.
Kwahiyo upo sawa.
Wanajirahisi kwa warahisi wenzao! kama mwanaume una msimamo wako huwezi kubali kubali kila tobo linalojileta kwako Kwani wee shimo la taka bana!Waache hiyo tabia ya kujirahisisha, shida zipo hatukatai ila kumlilia kila mtu shida ni ujinga.
Habari yako, hujambo?
Acha uoga,tafuta hela.😁
Weka sasa namba hapa nikutumie hela Mkuu.Pm ya nini sasa