Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Wadada tupunguze mizinga, inatudhalilisha sana

Hukuwa online so ningefanyaje?[emoji28]

baada ya kuona picha ya wifi yako naomba ule ushibe na wewe unenepe matako.[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunenepa sio shida zanguuu.
Babee wangu ashindwee kunibebaa na kuzunguka huku tuna kwichi kwichi kisa nn?

Nataka Eze tu keri. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunenepa sio shida zanguuu.
Babee wangu ashindwee kunibebaa na kuzunguka huku tuna kwichi kwichi kisa nn?

Nataka Eze tu keri. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unenepe matako/kijambio Sijasema unenepe mwili mzima 😅.

Kubebelea zigo Kuna Raha yake bhana sio unapeleka mkuyenge Unahofia utatokea upande wa pili wakati tunategemea upande wa pili tushikilie na mikono,luwe ma nyama nyama za kutuamsha hisia
 
Unenepe matako/kijambio Sijasema unenepe mwili mzima [emoji28].

Kubebelea zigo Kuna Raha yake bhana sio unapeleka mkuyenge Unahofia utatokea upande wa pili wakati tunategemea upande wa pili tushikilie na mikono,luwe ma nyama nyama za kutuamsha hisia

Mama [emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji87][emoji87] unanishinda tabia kijana oh oho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji847]
 
Ungekuwa na pesa wala usingeona kero kumpa mwanamke vocha. Kinachokusumbua ni umaskini wala sio mpenzi wako kuomba umsaidie. Tafuta hela uache kujiliza. Utakuwa hauna tofauti na binti.
happyxxx awe tajiri au maskini hakuna mwanaume anayekupa pesa yako bila kinyongo kuwa makini sana unapopewa pesa huku mwanaume anayekupa ana tabasamu.

ukiachana na wewe kuna watu kibao wanamtegemea kwahiyo usihisi pesa yake haina kazi hivi
 
Sikijua kama huu uzi utatembea hivi, inaonekana watu walikuwa na mengi sana kwenye mioyo yao.
 
Mama [emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji87][emoji87] unanishinda tabia kijana oh oho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji847]
Binti huyo petite bila ubavu atakupeleka mbio,😅 Sasa wewe siku ukikosa mkongo tukikubadhi hiyo utatuletea aibu.
 
Binti huyo petite bila ubavu atakupeleka mbio,[emoji28] Sasa wewe siku ukikosa mkongo tukikubadhi hiyo utatuletea aibu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitakunywa vidonge nikikosa mkongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nini ushauri kwa huyu Mdada wa Dodoma anayepiga sana vizinga?
Nazjaz
Kalpana
Bujibuji Simba Nyamaume
Tumsaidie ili asiudharirishe sana utu wake up halafu humu JamiiForums kuna kila kitu ila watu wengi wanapenda kushinda Chitchat, Selfika na Kula tunda kimasihara. Matokeo yake wanajikuta siku inaisha pasipo kupata jambo a faida. Kuna jukwaa la Biashara na Uchumi kuna thread za maana sana ukizifuatilia hautakuwa mtu wa mizinga kila mara. Ngoja niipost moja hapa. Tena yaliyoandikwa mle ukiya practice hayahitaji hata mtaji. Hasa kwa wale ambao hawana kazi na wanaitumia simu kuchat tu. Pasipo kuingia hata shilingi moja.
 
Back
Top Bottom