Wadada vaeni chupi zenye mvuto!

Dadeq inaonekana we ni mzinzi Sana,,, acha Mara moja oa mke mmoja,,,usiwadhalilishe wakianza kututapikia yetu hapa tutakimbiana

Pia kumbuka ukimwi unaua,,na ukijikinga ukimwi jikinge na ulimi Pia hepatitis inaua pia
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
MAAJABU


Unakuta mwingne kavaa bukta ila chupi ndo kubwaa, imening'inia mpk nje ka tambala la kudekia
 
Yaan kuna maumbile mengne kumaintain 24/7 hrs n kaz kweli kweli, huyu labda atembee na ndoo, watu km hawa uwe unawavumilia tuu mkuu km roho imependa
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Unakutana na Chupi inatema, yaan km kuna chemba ya choo karibu unaona bora ugeuzie Pua kwenye chemba ipunge hewa kdg, maana mpk nzi wanapiga chafya na kukimbia kuogopa kupata kipindu pindu.
 
Hivyo vya laki moja au laki 3 wanaovaa inawezekana wakawa hawafiki hata 40 humu jukwaani...

Acha kujikweza..[emoji151] [emoji149]
Mkuu bei ya sembe huku kwetu Bukyanagandi ni sh 2000 af unanambia et nimnunulie manzi chupi ya laki [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] labda ndotoni
 
Mkuu bei ya sembe huku kwetu Bukyanagandi ni sh 2000 af unanambia et nimnunulie manzi chupi ya laki [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] labda ndotoni
Unachukua mshahara wa Mwezi wa mlinzi (45x2) plus mkopo 10,000 unampa bebi akanunue chupi apendeze[emoji1] [emoji1] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…