kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,815
- 6,517
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
majadilio yana fungusyanga ina fangasi au mjaladio?😀😀😀
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]SIKU NILIPOKOMA UZINZI
Niliingia na demu flan iv gest ,wakuu nilikutana na chupi hioo......, kaniki sio kaniki, dela sio dela, makirikiri sio makirikiri, Dushe nililala fasta ndo nikajua kweli mwili una hisia, Nilizuga naenda Kununua Salama so ikabd niache viatu vyangu, nilishtukia nje nimevaa kandambili badili, nilivyofka reception nikawaambia jmn chukuen buku ya kandambili zenu hizi, mm Uzinzi basi walicheka sana wale wadada, nikakodi boda boda akaniuliza broo unaelekea wap sasa? mana aliona mguuni alikua anajifcha kucheka asijekujiharibia kaz, nikamwambia wewe twende tuu popote, Asivyo na huruma akaenda kuniacha stend na mm akili si haikua vzr nikakubali, Nilikua nimeuramba Mkanda nje full kupendeza, Ilikua aibu kinyamaa kwa ufupi ubrazamen uliisha ghafla nikajitia sijali chochote ili kdg kupunguza tension kwa watu, kufika home ili kukwepa aibu kwa masister na wazazi niliruka ukuta nikapitia dirishani ule usiku siku lala.
Naomba niione chupi yako please![emoji53][emoji53][emoji53]Basi sawa...
Punga hewa sista..Na atakayekwambia ni kosa akupe kifungu cha sheriabora me sivai chupi.. kwani nalo ni kosa?
asante kakaPunga hewa sista..Na atakayekwambia ni kosa akupe kifungu cha sheria
Hivyo vya laki moja au laki 3 wanaovaa inawezekana wakawa hawafiki hata 40 humu jukwaani...Hapo sasa! Wasione ni vizuri... vimegharamikiwa!!
Yaan kuna maumbile mengne kumaintain usafi 24/7 hrs n kaz kweli kweli, huyu labda atembee na ndoo, watu km hawa uwe unawavumilia tuu mkuu km roho imependa
Mkuu bei ya sembe huku kwetu Bukyanagandi ni sh 2000 af unanambia et nimnunulie manzi chupi ya laki [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] labda ndotoniHivyo vya laki moja au laki 3 wanaovaa inawezekana wakawa hawafiki hata 40 humu jukwaani...
Acha kujikweza..[emoji151] [emoji149]
Ahahahahaaaa!!!! Umetisha sana.Mkuu bei ya sembe huku kwetu Bukyanagandi ni sh 2000 af unanambia et nimnunulie manzi chupi ya laki [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] labda ndotoni
Unachukua mshahara wa Mwezi wa mlinzi (45x2) plus mkopo 10,000 unampa bebi akanunue chupi apendeze[emoji1] [emoji1] [emoji12]Mkuu bei ya sembe huku kwetu Bukyanagandi ni sh 2000 af unanambia et nimnunulie manzi chupi ya laki [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] labda ndotoni
Hiyo anaiona mume wangu tu.....Naomba niione chupi yako please![emoji53][emoji53][emoji53]
Hivyo vya laki moja au laki 3 wanaovaa inawezekana wakawa hawafiki hata 40 humu jukwaani...
Acha kujikweza..[emoji151] [emoji149]