Wadada vaeni chupi zenye mvuto!

mkeo/demu wako akiwa msafi inatosha,huko kwingine ulitumwa uende? ukome,na unapata wa kufanana na wewe...si ajabu hata saa hii unanusa kiboksa chako ili ukivae siku ya tano...[emoji41]
 
Mkuu uko right mabinti wengi hawjali sana vifunikio vya nyeti zao
 
mkeo/demu wako akiwa msafi inatosha,huko kwingine ulitumwa uende? ukome,na unapata wa kufanana na wewe...si ajabu hata saa hii unanusa kiboksa chako ili ukivae siku ya tano...[emoji41]
Boxer yangu hata msosi unaweza kulia kabisa... Kitu safiiiii
 
Hii mada ni ya mabinti mi napita.
.
.
Mabinti zingatieni huu ushauri.
 
wape habari yao mtu hakupi pesa ya maan anatak umvalie vizuri inahusu!!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…