NsameheWewe wewe acha kuchafua fada zangu kichaga π
Kame ni wewe hapo kwa picha hiyo yako misafi,...πππππππ imebidi nijiangalie kabla sijacomment,
Mimi binafsi viatu navaa nikiwa naenda interview π, kanisani au shereheni kidogo na date huko kwingine woooi ni visendo tu πππππ ila miguu yangu misafi naitreat inavyopaswa
Hapo kuna futa na filter ππππKame ni wewe hapo kwa picha hiyo yako misafi,...
Yaani my wangu hapa wadada wajiangalie Aisee!halafu Kuna vipako vinaletaga rangi Kama wamepaka Hina kisigino ππππNahisi nilishawahi kuandika hili pia
Kama siyo huku sijui nj wapi unamkuta mdada mrembo usoni ila miguu Jamani[emoji119]
Kuna na hivi Vipako wanapaka miguuni Kama ndizi choma
Ndo usafi wenyewe bidada.
Kapicha basi ka kisigino kikiwa na cracks basiπ€£π€£π€£π€£
π₯°π₯°Nsamehe
Hebu picha tuone kama ni kweliπππππππ imebidi nijiangalie kabla sijacomment,
Mimi binafsi viatu navaa nikiwa naenda interview π, kanisani au shereheni kidogo na date huko kwingine woooi ni visendo tu πππππ ila miguu yangu misafi naitreat inavyopaswa
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ina maana yeye anakuwa hajui Kama kachafua Hali y hewa?Halafu ukute sasa kafika mahali kakaa mbeleyake kuna kistuli,anavua vile visendo anaweka mguu wake juu ya kile kistuli huku kakunja nne,yani hapa aibu unaona wewe,unachofanya unakuja kukaa karibu nae ili usiwe unaangalia ile miguu kule chini...
10000 mzigo wote,au per PC?View attachment 2540238
Mzigo wangu huu hapa weekend najimaliza mwenyewe
Wanunulieni mababy zenu @10,000 tu
Eeeeh hao Tena wapya sijakutana naoSi bora hao wa visigino. Kuna pisikali zinanuka miguu wanaume wakasome.
Utakuta demu kapiga raba kali sasa usiombe aivue, kama amekufa fungo. Nao pia wajifunze kunawa miguu vizuri na kuvaa socks safi.