Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Sio mtanipeleka spa?Tutakusugua kwa lazima famchezo nini 😂
Nikafanyiwe na massage kabisa, nyie mkinisugua mtaniumiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mtanipeleka spa?Tutakusugua kwa lazima famchezo nini 😂
🤣 tutakusugua hata na steel wire si hutaki kusugua mwenyeweSio mtanipeleka spa?
Nikafanyiwe na massage kabisa, nyie mkinisugua mtaniumiza
Bila ka picha huu Uzi ni batili🤓🤓🤣🤣 natania tu in JPM voiceMambo zenu jamani.
Nimeona tukumbushane tu madiva wa Dslam kuhusu Visigino vyetu jamani.Sio Siri Dar panaongoza wadada kuwa na miguu michafu yaani Hadi unashangaa huyu katoka kwenye vanga wapi?hii yote Ni Sababu ya kusingizia joto na kuendekeza hivi visendo vya kichina .Yaani mtu muda wote hana usafi,unakutana na dada mzuri kavaa nguo yake nzuri ukimuangalia chini anakukata stimu kabisa
Jamani hebu tusugueni hivyo Visigino yaani mtu kisigino hakieleweki,cheusi utasema alikuwa anasigina masizi🙄!Huyu mchina asitudanganye na slipper zake,na vile Sasa katoa hizo kopi za Tommy Hilfiger Basi yamefika wa wadada wa Dar es salaam,hebu tuwe tunavaa na viatu siku moja moja tutunze miguu hiyo.Hivi mbona Mbeya na Arusha wasafi tu wenzetu.
Unaajita Diva na kisigino kichafu wapi na wapi!Tubadilike
Tatizo 😀😀😀Kuna sehemu nilienda kuangalia mgonjwa. Kulikwa na sitting room za kiarabu (za kuaa chini, kuegemea mito). Aliingia binti mmoja mrembo hasa. Ila alipokuja kukaa na kunyoosha miguu ule uvundo uliotoka hapo ni Mungu tu ndio anajua. Haikujalisha kulikuwa na a/c na harufu ya oud.
Huyo ni mfano tu mmoja lakini wape kina dada wengi hasa wanaoshinda na viatu vya kufunika siku nzima huwa wananuka miguu mno.
Kwani nyie gaga langu linawachoma nini, huo ni uvunjifu wa haki na uhuru wa binadamu🤣 tutakusugua hata na steel wire si hutaki kusugua mwenyewe
Nimegeuka kuangalia mossimo zangu nikahisi kama unanisemaTajiri mwenye shoe rank ya ngazi 5 zote ni heels 🔥🔥
Unadamshigi kinomaaa tajiri 😍
Me mniache hapo mbele kona ya mossimo
Kuna Mmoja alikuja Kwangu kwa Shughuli Maalum kumbe Miguuni alikuwa na Magaga na Kunichania Shuka langu Zuri la Urithi. Nilikereka mno.Mambo zenu jamani.
Nimeona tukumbushane tu madiva wa Dslam kuhusu Visigino vyetu jamani.Sio Siri Dar panaongoza wadada kuwa na miguu michafu yaani Hadi unashangaa huyu katoka kwenye vanga wapi?hii yote Ni Sababu ya kusingizia joto na kuendekeza hivi visendo vya kichina .Yaani mtu muda wote hana usafi,unakutana na dada mzuri kavaa nguo yake nzuri ukimuangalia chini anakukata stimu kabisa
Jamani hebu tusugueni hivyo Visigino yaani mtu kisigino hakieleweki,cheusi utasema alikuwa anasigina masizi🙄!Huyu mchina asitudanganye na slipper zake,na vile Sasa katoa hizo kopi za Tommy Hilfiger Basi yamefika wa wadada wa Dar es salaam,hebu tuwe tunavaa na viatu siku moja moja tutunze miguu hiyo.Hivi mbona Mbeya na Arusha wasafi tu wenzetu.
Unaajita Diva na kisigino kichafu wapi na wapi!Tubadilike
Mimi na mossimoNimegeuka kuangalia mossimo zangu nikahisi kama unanisema
Ukiangalia gaga linakuzomea 😖Mambo zenu jamani.
Nimeona tukumbushane tu madiva wa Dslam kuhusu Visigino vyetu jamani.Sio Siri Dar panaongoza wadada kuwa na miguu michafu yaani Hadi unashangaa huyu katoka kwenye vanga wapi?hii yote Ni Sababu ya kusingizia joto na kuendekeza hivi visendo vya kichina .Yaani mtu muda wote hana usafi,unakutana na dada mzuri kavaa nguo yake nzuri ukimuangalia chini anakukata stimu kabisa
Jamani hebu tusugueni hivyo Visigino yaani mtu kisigino hakieleweki,cheusi utasema alikuwa anasigina masizi🙄!Huyu mchina asitudanganye na slipper zake,na vile Sasa katoa hizo kopi za Tommy Hilfiger Basi yamefika wa wadada wa Dar es salaam,hebu tuwe tunavaa na viatu siku moja moja tutunze miguu hiyo.Hivi mbona Mbeya na Arusha wasafi tu wenzetu.
Unaajita Diva na kisigino kichafu wapi na wapi!Tubadilike
😅😅😅mimi pia tuna mkataba wa maisha na mossimoMimi na mossimo
Tuna ndoa
Na hapana brand ingine itatutenganisha
Kukumbushana usafi i don't think kama ni bullying labda tone iliyotumika ndio ilikua deep.Duuh
Where are we heading as a nation
Bullying ur fellow woman is not accepted
Whatever the situation is is there own life jamani
But eniwei i come with peace
Em kapicha 😂🏃♂️😅😅😅mimi pia tuna mkataba wa maisha na mossimo
Linachosha na kuchana mashuka 😂Kwani nyie gaga langu linawachoma nini, huo ni uvunjifu wa haki na uhuru wa binadamu
nikivaa raba naweza nikavua njiani 😀😀😀Sendoz uvae huna mizunguko ya kwenye mavumbi, na usiburuze miguu ukitembea,
Mimi navaa Raba na Boots ndio nimejaza ndani, Sendoz huvaa nikiwa na mizunguko mifupi sababu sijui kutembelea sendoz pia natembea haraka haraka,
High heels navaa kwenye special Occasions tu.
😂😂 kwamba ukitembea haraka haraka sendo inakataa?Sendoz uvae huna mizunguko ya kwenye mavumbi, na usiburuze miguu ukitembea,
Mimi navaa Raba na Boots ndio nimejaza ndani, Sendoz huvaa nikiwa na mizunguko mifupi sababu sijui kutembelea sendoz pia natembea haraka haraka,
High heels navaa kwenye special Occasions tu.
Did you feel offended?Duuh
Where are we heading as a nation
Bullying ur fellow woman is not accepted
Whatever the situation is is there own life jamani
But eniwei i come with peace
Ni kweliDid you feel offended?
Tunakumbushana tu hakuna aliyekuwa bullied