Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwi comfortable kutembea nikiwa nimevaa sendoz kwa mwendo wangu wa haraka haraka.[emoji23][emoji23] kwamba ukitembea haraka haraka sendo inakataa?
Hiyo sio mossimoMwenye mosimo zake aje afwate
View attachment 2540292
Mimi ndio naweza kutembea kwa kujiamini kabisanikivaa raba naweza nikavua njiani [emoji3][emoji3][emoji3]
Najitahidigi kwenye mazoezi tu
Labda ya kikwaoHiyo sio mossimo
Itakua unaongelea dar vijijini!Mambo zenu jamani.
Nimeona tukumbushane tu madiva wa Dslam kuhusu Visigino vyetu jamani.Sio Siri Dar panaongoza wadada kuwa na miguu michafu yaani Hadi unashangaa huyu katoka kwenye vanga wapi?hii yote Ni Sababu ya kusingizia joto na kuendekeza hivi visendo vya kichina .Yaani mtu muda wote hana usafi,unakutana na dada mzuri kavaa nguo yake nzuri ukimuangalia chini anakukata stimu kabisa
Jamani hebu tusugueni hivyo Visigino yaani mtu kisigino hakieleweki,cheusi utasema alikuwa anasigina masizi🙄!Huyu mchina asitudanganye na slipper zake,na vile Sasa katoa hizo kopi za Tommy Hilfiger Basi yamefika wa wadada wa Dar es salaam,hebu tuwe tunavaa na viatu siku moja moja tutunze miguu hiyo.Hivi mbona Mbeya na Arusha wasafi tu wenzetu.
Unaajita Diva na kisigino kichafu wapi na wapi!Tubadilike
Kamguuu kabaya hakana mvuto si sawaNi kweli
Maana kamguu kakiwa kasafi hata unajiamini ukiwa na babe ndani kumnyooshea.
Sasa kamguu kamepauka
Uwii
Jamani mbona mnatuonea sana??[emoji849][emoji849]
Huku visigino, kule mawigi, tukikaa kidogo bleach mara vitambi.....[emoji55][emoji2418]
Hii ndiyo JF, wadada wake wote Wana miguu soft na mizuri balaa.
Tuonyeshe kisigino chakoUnateseka?
Tutasherehekea bila furaha kabisa!!!😵Kuelekea siku ya wanawake
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] imebidi nijiangalie kabla sijacomment,
Mimi binafsi viatu navaa nikiwa naenda interview [emoji3], kanisani au shereheni kidogo na date huko kwingine woooi ni visendo tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji2] ila miguu yangu misafi naitreat inavyopaswa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nahisi nilishawahi kuandika hili pia
Kama siyo huku sijui nj wapi unamkuta mdada mrembo usoni ila miguu Jamani[emoji119]
Kuna na hivi Vipako wanapaka miguuni Kama ndizi choma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu ukute sasa kafika mahali kakaa,na mbele yake kuna kistuli,anavua vile visendo anaweka miguu yake juu ya kile kistuli huku kakunja nne,yani hapa aibu unaona wewe,unachofanya unakuja kukaa karibu nae ili usiwe unaangalia ile miguu kule chini...
😁😁😁Mwenye mosimo zake aje afwate
View attachment 2540292