Wadada wa Dar na Visigino vyao

Na makwapa pia muyaweke safi wengine tunapenda kulapamba kwapa
 
Naomba dear loc ya kuipataaa, hiyo heavy niliwahi kuwa nayoo ila imeisha km mwezi m1, now navaa socks tyuuh.

Kila nikitafuta siipati. Plz kwa Dar napata wapi.

Nauza dear
Location
Kariakoo mafia na Jangwani
0655-155782
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna Mmoja alikuja Kwangu kwa Shughuli Maalum kumbe Miguuni alikuwa na Magaga na Kunichania Shuka langu Zuri la Urithi. Nilikereka mno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba dear loc ya kuipataaa, hiyo heavy niliwahi kuwa nayoo ila imeisha km mwezi m1, now navaa socks tyuuh.

Kila nikitafuta siipati. Plz kwa Dar napata wapi.
Wakunyumba kumbe na wewe hupendi mguu mchafu au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…