Wadada wa Dar na Visigino vyao

Wadada wa Dar na Visigino vyao

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii mada ya midomo
ndio mada ya kunuka midomo atairepresentt dada kubwa To yeye
Yaan unakuta mkaka smart kabisaa, ila akiongea sasa km chemba ya choo imezibuka ghaflaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ee
 
Kwa kweli miguu ikisuguliwa kila unapoingia kuoga miguu itakuwa na Hali nzuri sana
Kuna kipindi nilikuaga navaa sana viatu miguu yangu ikawa nyororo sana siku ya siku nikaenda kucheza mpira (Ndondo) ule wa peku peku....

Yaan kuna jamaa mmoja wa timu pinzani tulipo kua tunakabiliana alinichana Kwa miguu yake kama kiwembe au kisu 😊🤓
 
1470569878255.jpg

Source: Google
 
Kuna kipindi nilikuaga navaa sana viatu miguu yangu ikawa nyororo sana siku ya siku nikaenda kucheza mpira (Ndondo) ule wa peku peku....

Yaan kuna jamaa mmoja wa timu pinzani tulipo kua tunakabiliana alinichana Kwa miguu yake kama kiwembe au kisu 😊🤓
🤣🤣🤣🤣Hawajakuita mtoto wa mama kweli?
 
Mambo zenu jamani.

Nimeona tukumbushane tu madiva wa Dslam kuhusu Visigino vyetu jamani. Sio Siri Dar panaongoza wadada kuwa na miguu michafu yaani hadi unashangaa huyu katoka kwenye vanga wapi? hii yote ni sababu ya kusingizia joto na kuendekeza hivi visendo vya kichina .Yaani mtu muda wote hana usafi, unakutana na dada mzuri kavaa nguo yake nzuri ukimuangalia chini anakukata stimu kabisa.

Jamani hebu tusugueni hivyo visigino, yaani mtu kisigino hakieleweki, cheusi utasema alikuwa anasigina masizi[emoji849]. Huyu mchina asitudanganye na slipper zake, na vile sasa katoa hizo kopi za Tommy Hilfiger basi yamefika wa wadada wa Dar es salaam, hebu tuwe tunavaa na viatu siku moja moja tutunze miguu hiyo. Hivi mbona Mbeya na Arusha wasafi tu wenzetu.

Unaajita Diva na kisigino kichafu wapi na wapi! Tubadilike.
Weka picha
 
Wadada wa dar kwa kula I salute you 🙌🙌
Wee hatuwazidi wa Mbeya,sie vichipsi mayai vyetu hata haushibi wenzetu Mbeya wanakula Chipsi na mboga za majani na parachichi na ndizi moja ofa!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]..ukweli mchungu, tena unakuta iko na mabakabaka kama kenge sababu ya mkorogo, zaidi ya 85%...
Wenye mabakamabaka wametumia vipako
 
Wee hatuwazidi wa Mbeya,sie vichipsi mayai vyetu hata haushibi wenzetu Mbeya wanakula Chipsi na mboga za majani na parachichi na ndizi moja ofa!

Wanawake wa mbeya wanaongoza kula Afrika mashariki na kati, kiti moto kilo mbili anakula mmoja, maparachichi manne, ndizi za tukuyu sita za kukaanga, chips na nyama choma ya elfu tatu, soda pepsi au mirinda nyeusi, yaani bado akirudi nyumbani usiku ale ni balaa sana
 
Nimescroll sijaona hata kisigino kimoja. Kuna kastyle mkiwekana unaweza lamba vidole na visigino huku unasukuma taratibu. Ukikutana na KISIGINO unaanzaje kuweka na kuchezea kwa ulimi!!!
 
Back
Top Bottom