Wadada wa Dar na Visigino vyao

Wadada wa Dar na Visigino vyao

Nimescroll sijaona hata kisigino kimoja. Kuna kastyle mkiwekana unaweza lamba vidole na visigino huku unasukuma taratibu. Ukikutana na KISIGINO unaanzaje kuweka na kuchezea kwa ulimi!!!
Haya Tena fundi umekuja na kivingine na jambo lako!kweli wadada wapambane kusugua Visigino 😄😄

mzabzab Umeona wenzio?we endelea na kwapa lako
 
9b75e1c0-5831-4290-8b40-aa3793d852a3.jpg

Hayaa package nyingine ya miguu hiyo hapooo
Unakosaje kung’aa
 
Mambo zenu jamani.

Nimeona tukumbushane tu madiva wa Dslam kuhusu Visigino vyetu jamani. Sio Siri Dar panaongoza wadada kuwa na miguu michafu yaani hadi unashangaa huyu katoka kwenye vanga wapi? hii yote ni sababu ya kusingizia joto na kuendekeza hivi visendo vya kichina .Yaani mtu muda wote hana usafi, unakutana na dada mzuri kavaa nguo yake nzuri ukimuangalia chini anakukata stimu kabisa.

Jamani hebu tusugueni hivyo visigino, yaani mtu kisigino hakieleweki, cheusi utasema alikuwa anasigina masizi🙄. Huyu mchina asitudanganye na slipper zake, na vile sasa katoa hizo kopi za Tommy Hilfiger basi yamefika wa wadada wa Dar es salaam, hebu tuwe tunavaa na viatu siku moja moja tutunze miguu hiyo. Hivi mbona Mbeya na Arusha wasafi tu wenzetu.

Unaajita Diva na kisigino kichafu wapi na wapi! Tubadilike.
Na hizo nywele zenu za kichina asee noma sana zina harufu mbaya sana na hili jua sasa ndo imekua balaa zaidi.
 
Sendoz uvae huna mizunguko ya kwenye mavumbi, na usiburuze miguu ukitembea,

Mimi navaa Raba na Boots ndio nimejaza ndani, Sendoz huvaa nikiwa na mizunguko mifupi sababu sijui kutembelea sendoz pia natembea haraka haraka,

High heels navaa kwenye special Occasions tu.

[emoji23][emoji23][emoji23] sendoz zinachafua miguu aisee
 
Ni kweli
Maana kamguu kakiwa kasafi hata unajiamini ukiwa na babe ndani kumnyooshea.

Sasa kamguu kamepauka
Uwii

Dawa ni kuvaa raba simple miguu inakuwa misafi au mizunguko mingi uwe ndan ya gari
 
Yani kuna mtu kakaa anawaangalia watu baki visigino tu 🙂🙂🙂

Huyu kukiwa na kazi inahitaji watu wenye "attention to detail" inabidi apewe tu.
 
Back
Top Bottom