Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
tatizo hiloKuna mijamaa ya hovyo sana humu yaani linaweza kuku_seduce ukajua ni mtoto kaingia kingi kumbe dume aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo hiloKuna mijamaa ya hovyo sana humu yaani linaweza kuku_seduce ukajua ni mtoto kaingia kingi kumbe dume aisee
Nimecheka sana huu msamiati😁tako jema
Wapo Ila sijajua kwa wingi gani Ila Kuna mmoja tulimpa lifti from chamazi to town.Jf haina wanawake mkuu, believe me ni madume tu walioamua kuturidhisha vidume wenzao
Basi wengi ni wale wenye characters za kiume mkuu, mwanamke kuacha tiktok, fb, insta kuja jf ni ngumu sana, pia anakuwa na elimu ya kujitambua sana(msomi)Wapo Ila sijajua kwa wingi gani Ila Kuna mmoja tulimpa lifti from chamazi to town.
Nikachungulia simu yake anasoma news jamii forums tulikua tumekaa siti za nyuma nikawa curious kumuuliza..na kweli Nika mfanyia mahojiano
Akasema yeye hayupo fb, TikTok,insta, x Ila yupo Sana JF akasema yeye anapenda kusoma news mbali mbali tukatajiana majina ya some members genta,mshana, buji buji, gwajima D, mzabzab, rickboy e.t.c
Akasema yeye ni msomaji zaidi sio mwandikaji...Mimi pia zamani sikua mchangiaji nilikua msomaji zaidi..
So wapo hata 200 na zaidi wengi sio waandikaji ni wasomaji zaidi
Kweli wanakuaga conscious na wapo na awareness kubwa Sana mkuu.Basi wengi ni wale wenye characters za kiume mkuu, mwanamke kuacha tiktok, fb, insta kuja jf ni ngumu sana, pia anakuwa na elimu ya kujitambua sana(msomi)
Mwanamke wa kawaida hawezi kuacha kujisnap aje jf kuitana mkuu, kiongozi, bro
Ngoja nifanye uchunguzi wangu nikija kumfuma mwanamke live yupo jf, nampima na size ya shela kabisaKweli wanakuaga conscious na wapo na awareness kubwa Sana mkuu.
Akili yake haipo sawa huyoIla we jamaa bwana kwani wanaume mliwezaje kujiunga JF mpaka iwe ajabu kwa wanawake?
Binti Sayuni nipo hapa😍
🤣 😃😀😀😀Jf haina wanawake mkuu, believe me ni madume tu walioamua kuturidhisha vidume wenzao
Ulivokazania sasaAsilimia kubwa ni wanaume hao, kwenye hizo ID wanawake halisi ni 20%
Nyie watu nawashangaa sana! Umuhimu wa mwanamke ni K yake. After all mkidinyana huwa Taa zinazimwa. Sura ya nini na wakati K ina sura mbaya. La muhimu ni K yake si suraNdo hivo mkuu, lakin kwa akili ya kawaida tu hata kama hakuna wanawake mtaani kwako, unawezaje kutongoza kitu ambacho hujawahi hata kukiona?
KabisaAkili yake haipo sawa huyo