Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamwambia akutumie na picha anakutumia aisee😀tatizo hilo
😂😂😂😂 naomba unifikishie salaam tena kwa Mwenyekiti na Wajumbe Wotee. Haya majamaa yana act ni KE kumbe ni ME msiwasahau kwenye hadidu za rejea, yanatupotezea sana timing, Msimamo wenu usitofautiane na wa Trump, nimependa sana MOTTO yenu line tatu za maana kbs.😀Salam za kataa ndoa tumezipokea
#kataa ndoa linda uhuru
#kataa ndoa linda kibunda
#kataa ndoa linda afya ya akili
Ulivokazania sasa
HahahahaUzururaji ulinifikisha hapa mkuu
Nyie watu nawashangaa sana! Umuhimu wa mwanamke ni K yake. After all mkidinyana huwa Taa zinazimwa. Sura ya nini na wakati K ina sura mbaya. La muhimu ni K yake si su
Kumbe umekuja kutafuta attention ya kutongozwaKwani jf ina maajabu gani?
Halafu pia inategemea na choice ya mtu..mimi binafsi sio mpenzi wa tiktok wala sina account huko
Kwahiyo nitakuwepo jf kusoma na kufurahia post za humu...au mlitaka muwe wanaume wenyewe?
Mngetongozana je sasa 🤣
Chochote kinachokupa comfort ni chema mkuu hata kama wengine hawapendi 😂Nimecheka sana huu msamiati😁
Hapana Madam nyie ni wakipekee wanawake wengi wanapenda kuona picha picha tofauti na JF maneno ni mengi kuliko pichaKwani jf ina maajabu gani?
Halafu pia inategemea na choice ya mtu..mimi binafsi sio mpenzi wa tiktok wala sina account huko
Kwahiyo nitakuwepo jf kusoma na kufurahia post za humu...au mlitaka muwe wanaume wenyewe?
Mngetongozana je sasa 🤣
Kumeanza kuchangamka mapema tuKwanza kabisa naomba nianze kwa kusalimia
Wakubwa zangu Shikamoo, wadogo zangu Marahaba, Mashangazi Chei chei!,
Nimejiuliza sana hivi mliwezaje kujiunga na JamiiForums, maana nimejaribu kufanya tafiti kwenye jamii inayonizunguka simuoni mdada anayefanania kuwa na akaunti JF, wengi wao utawakuta wako kwenye social media nyingine kama X, instagram, tik tok na nk
Nyie ilikuwaje mkatokea JF naombeni mnipe ushuhuda kdg, ilikuwaje, na nani aliku_introduce JamiiForums na uliwezaje kufungua mpk akaunti, aisee nyie ni noma.
Please hii ni kwa KE halisia sio nyie wenye fake ID mnaojifanya KE kumbe ni ME, Ashakum si matusi, hivi unajiskiaje unaposifiwa na mwanaume mwenzako PM una paja laini au tako jema na unajibu asante, kweli? wkt wewe ni ME
Salaam zenu kutoka CHAPUTA na KATAA NDOA mmelika kweli kweli.
Safi sana uje pale Nexus Makumbusho,unywe JuiceKwani jf ina maajabu gani?
Halafu pia inategemea na choice ya mtu..mimi binafsi sio mpenzi wa tiktok wala sina account huko
Kwahiyo nitakuwepo jf kusoma na kufurahia post za humu...au mlitaka muwe wanaume wenyewe?
Mngetongozana je sasa 🤣
Weekend hiiKumeanza kuchangamka mapema tu
Nmepita muda si mrefu, nikirudi basiSafi sana uje pale Nexus Makumbusho,unywe Juice
Sawa, karibuNmepita muda si mrefu, nikirudi basi
TUPO MKUU TUPO......Basi wengi ni wale wenye characters za kiume mkuu, mwanamke kuacha tiktok, fb, insta kuja jf ni ngumu sana, pia anakuwa na elimu ya kujitambua sana(msomi)
Mwanamke wa kawaida hawezi kuacha kujisnap aje jf kuitana mkuu, kiongozi, bro