Wadada wa JamiiForums naomba mpokee maua yenu

Wadada wa JamiiForums naomba mpokee maua yenu

Kwanza kabisa naomba nianze kwa kusalimia

Wakubwa zangu Shikamoo, wadogo zangu Marahaba, Mashangazi Chei chei!,

Nimejiuliza sana hivi mliwezaje kujiunga na JamiiForums, maana nimejaribu kufanya tafiti kwenye jamii inayonizunguka simuoni mdada anayefanania kuwa na akaunti JF, wengi wao utawakuta wako kwenye social media nyingine kama X, instagram, tik tok na nk

Nyie ilikuwaje mkatokea JF naombeni mnipe ushuhuda kdg, ilikuwaje, na nani aliku_introduce JamiiForums na uliwezaje kufungua mpk akaunti, aisee nyie ni noma.

Please hii ni kwa KE halisia sio nyie wenye fake ID mnaojifanya KE kumbe ni ME, Ashakum si matusi, hivi unajiskiaje unaposifiwa na mwanaume mwenzako PM una paja laini au tako jema na unajibu asante, kweli? wkt wewe ni ME

Salaam zenu kutoka CHAPUTA na KATAA NDOA mmelika kweli kweli.
Hehehe
 
Please hii ni kwa KE halisia sio nyie wenye fake ID mnaojifanya KE kumbe ni ME, Ashakum si matusi, hivi unajiskiaje unaposifiwa na mwanaume mwenzako PM una paja laini au tako jema na unajibu asante, kweli? wkt wewe ni ME
Nina ID kama mbili nimezifanya za kike na zinanipa mkwanja kinoma
 
Back
Top Bottom