GANJIBHAAI
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 456
- 1,352
- Thread starter
-
- #121
Kweli, mbinu za kimedaniNikusaidie wanawake waliopo Twitter ndio waliopo JF…..!!
Halafu hakuna cha ajabu mwanamke kuwa huku, kingine ukitaka kumjua mwanamke wewe fatilia michango yake, kuna vitu atashindwa kujadili km mwanamke lazima ataonyesha uhalisia wake sababu anaigiza..!!
Atajifanya mwanamke kwa muda mbele huko atajionyesha tu yeye ni nani?
I was attracted to intelligenceKwanza kabisa naomba nianze kwa kusalimia
Wakubwa zangu Shikamoo, wadogo zangu Marahaba, Mashangazi Chei chei!,
Nimejiuliza sana hivi mliwezaje kujiunga na JamiiForums, maana nimejaribu kufanya tafiti kwenye jamii inayonizunguka simuoni mdada anayefanania kuwa na akaunti JF, wengi wao utawakuta wako kwenye social media nyingine kama X, instagram, tik tok na nk
Nyie ilikuwaje mkatokea JF naombeni mnipe ushuhuda kdg, ilikuwaje, na nani aliku_introduce JamiiForums na uliwezaje kufungua mpk akaunti, aisee nyie ni noma.
Please hii ni kwa KE halisia sio nyie wenye fake ID mnaojifanya KE kumbe ni ME, Ashakum si matusi, hivi unajiskiaje unaposifiwa na mwanaume mwenzako PM una paja laini au tako jema na unajibu asante, kweli? wkt wewe ni ME
Salaam zenu kutoka CHAPUTA na KATAA NDOA mmelika kweli kweli.
You’are among the chosen one, 😍I was attracted to intelligence
Miss Mariaah kwa nini uko macho mpk mida hii?, I mean just out of curiosity.I was attracted to intelligence
Ndio wewe daudi au tunamzungumzia wa bibliaHahahhh ila Daudi anaonekana ana mistari konzi sana (punchlines), binti inakuingia kama mshale mtimani, ila tulia sisi ndo wazee wa kumwaga mapene, stori kdg, acha pesa yenyewe ndo iongee. Shopping Dubai, UAE, usingizi Vancouver, Canada.
Ulikuwa unatutakia niniWanawake wa JF mna akili nyingi sana imani yangu inaniambia mpo, lakini mpo wachache sana, kuna majukwaa mengine ukiingia mnajikuta midume tupu, TMK, Chege,Nature na KR Mula 😂
Ilibidi niangalie umejiunga lini JF.Ngoja nifanye uchunguzi wangu nikija kumfuma mwanamke live yupo jf, nampima na size ya shela kabisa
MmhUlikuwa unatutakia nini
Niliamka kunywa majiMiss Mariaah kwa nini uko macho mpk mida hii?, I mean just out of curiosity.
Sidhani kama unatakiwa kuongea hivo hata Dr gwajima naye ni mwanaume na kwa nini unadhani hakuna wanawake?Jf haina wanawake mkuu, believe me ni madume tu walioamua kuturidhisha vidume wenzao
Sorry, wapo ila kwa idadi ndogo sana tofauti na ID za kike zilizomo humuSidhani kama unatakiwa kuongea hivo hata Dr gwajima naye ni mwanaume na kwa nini unadhani hakuna wanawake?
Ni kweli matapeli wapo sana ila ni ujinga mwanamme kamili kuact kama mwanamke.mwanamme halisi atahisi hatiaSorry, wapo ila kwa idadi ndogo sana tofauti na ID za kike zilizomo humu
Ndo hivo tunaishi nao tu, kwenye mkusanyiko wa watu lazima wawepo wanaoenda kinyume tuNi kweli matapeli wapo sana ila ni ujinga mwanamme kamili kuact kama mwanamke.mwanamme halisi atahisi hatia