Wadada wamezidi kuomba pesa

Wadada wamezidi kuomba pesa

Kiukweli hali ni mbaya dada zetu wanaomba pesa kupitiliza just imagine mtu ujamtongoza ni yale mazoea tu ya kawaida lakini kila muda kwako txt zinaingia za kuombwa pesa tu.

Mwengine ujamtongoza na anataka umlipie kodi na hapo hapo cm yake oppo imevunjika kioo inatakiwa 100k hivyo vyote nimepewa mimi kisa tu nikwamba nilionyesha yale mazingira ya kumuhitaji kwa kipindi cha nyuma.

Nilivyoona naanza kuegemewa nikafuta huo mpango,
Ila sasa pamoja na kufuta huo mpango bado ananing'ang'ania ananipiga vibomu kila saa utadhani mimi mme wake.
Hv mtu huyu nimfanyeje??
Mwanamke anakuomba buku mbili halafu anaomba umuuzie maji bila shaka ukikubali kumuuzia tegemea kuombwa hela ya kununulia hayo maji.
Sema mwamba unatufelisha sana,unaombwa buku mbili umekimbilia kufungua uzi? Halafu unawezakuta hiyo kodi yenyewe ni 10k
 
Hadi Maji kaomba hapo tena kuuziwa Yan hana makuu kabisa

Mleta uzi sijui apewe Nini kingine,kapewq wa size ya buku 2 na ndoo ya Maji bado kamfungulia uzi hapa ,je akipewa wa laki 1 si atambandika matangazo mtaa mzima
Aibu hii sasa.
Kuna vibomu vilivyopitiliza tuna vikataa but buku 2 na maji aaah
 
𝙉𝙖 𝙝𝙖𝙥𝙤 𝙗𝙖𝙙𝙤 𝙢𝙢𝙟𝙖 𝙬𝙖𝙥𝙤 𝙣𝙞𝙣𝙖𝙚 𝙝𝙪𝙠𝙪 𝙠𝙢 𝙠𝙪𝙣 𝙢𝙩𝙪 𝙖𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖𝙣 𝙣𝙖 𝙝𝙯𝙤 𝙢𝙢𝙗 𝙣𝙟𝙤𝙤 𝙣𝙠𝙪𝙥 𝙣𝙢𝙗 𝙞𝙡𝙖 𝙢𝙯𝙜𝙤 𝙪𝙣𝙖𝙟𝙞𝙥𝙖𝙠𝙪𝙡𝙞𝙝 𝙖𝙡𝙬𝙖𝙮𝙭 𝙝𝙖𝙝𝙖𝙝𝙖
 
Mkuu wanakuwa na hela ukichunguza utakuta anafanya kazi ila mshahara wake hataki utumike, kwaiyo anacho kifanya ni kujigeuza Matonya tu. Sijui pesa zao wana famyiaga nini utakuta miaka nenda miaka rudi hawafanya chochote cha maana zaidi ya kuvaa tu, wakipata pesa ata wazo la kuanzisha biashara hawana.
mwanamke wa hivyo unamfanya kama malaya tu
 
Huyu anaendana na hali ya uchumi wa sasa, nashangaa jamaa analalamika, angepigwa hiki je ?[emoji116][emoji38]View attachment 2418860
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Hivi viumbe vimekuwa omba omba mnoo, yani text ya salam mbele kiboom! Too much imekuwa. Na wako na style mpya nowdays mtu anakutumia namba ya kutuma pesa aseee!
Kuna manzi kadhaa walinipiga viboom nikaona sio kesi nikawaambie watafute mtaji wa 5k niwape odds wabet[emoji16][emoji16] hakuna namna pesa kutoa bila nidhamu ni ujinga na uzembe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Hivi viumbe vimekuwa omba omba mnoo, yani text ya salam mbele kiboom! Too much imekuwa. Na wako na style mpya nowdays mtu anakutumia namba ya kutuma pesa aseee!
Kuna manzi kadhaa walinipiga viboom nikaona sio kesi nikawaambie watafute mtaji wa 5k niwape odds wabet[emoji16][emoji16] hakuna namna pesa kutoa bila nidhamu ni ujinga na uzembe.
Hakika mkuu ni ujinga na ufala mkubwa
 
Acha kusiliza maneno ya watu. Wewe piga puli pumbu ziwe empty kabisa yaani zikauke. Fedha yako uitunze ufanyie mambo ya maana. Hapo unakuta unamaliza pesa yako uliyoitafuta kwa shida na taabu kisa na mkasa TAKO KUBWA 😂😂😂. We piga puli, mpaka ukauke kabisa. Halafu tunza pesa.




Ohooooooo!Usidanganywe na watu wa mitandaoni. Humu jf kila mtu tajiri na anayo kazi mshahara milioni 30 kwa mwezi. Wachovu ni mimi na wewe tu. 😂😂😂
Daah..kama unamjua mkuu huyu manzi ana tako kubwa balaaa
 
Hapo sasa na huyu dem mara nyingi huwa ananiambia kuwa ataki kuolewa
Shida kuishi na wanaume hawataki wanataka kukaa kihuni kama nguruwe halafu wanataka kupewa mahitaji kama wake za watu. Mtihani mzito huu.
 
Vizinga kabla ya kupewa mbususu huwa vinavumilika ila nikishasuuza rungu imekula kwake 🤣🤣🤣
Na wao ni wajanja yani kabla ya kukupa mbususu wanahakikisha wamekuchakaza haswa ukachakaa sasa hapo ni uamuzi wako ukaze buti au ukimbie
 
Na wao ni wajanja yani kabla ya kukupa mbususu wanahakikisha wamekuchakaza haswa ukachakaa sasa hapo ni uamuzi wako ukaze buti au ukimbie
Kitu ambacho unafanya unahakikisha kuwa mahusiano yasiwe marefu mpaka upewe mbususu ukiona anakupanga sana ndani ya siku chache za mwanzo unajitoa kwanza unamkaushia

Unabaki kwenye data base zake siku ya siku itafika tu utammega hawa ni ombaomba atakurudia tu hapo ndo unammega sasa

NB: Lakini kwa njaa walizo nazo siku hizi hawachelewi kutoa mbususu
 
Wanaishije pekee yao na umri wa kuolewa umeshafika. Tatizo wao wanahisi kuolewa ni kifungo na ni sumu ya maisha yao. Ila kuliwa hovyo wanaona ni ujanja. Wakifika miaka 35 and above wakishachuja wanaanza kulazimisha ndoa kwa nguvu.

Hiki kizazi cha wanawake sijui nuksi kiliambukizwa na nani maana huko mbeleni tutakuwa na wasimbe wengi kuliko wake za watu.
Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom