Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Inaonekana na wewe una hizi quality je, tayari kuna muuni amesha kuweka ndani ? Au jimbo bado lipo wazi tutupie ndoano ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo sifa zina nguvu sana kuliko mlango wa chiniMbona sijaona sehemu panaposema ajue kutoa mbususu pasipo kuombwa
HapanaUombi uombi hela wewe? 😀
Kama umeweza kujiunga jf, ndio umri sahihi wa kusaka ndoaKwakweli nitafanya hivyo, nitakapohitaji ndoa😊🤗
wakati wa Mungu ndio wakati sahihi zaid..tuendelee kuishi 😊🤗Kama umeweza kujiunga jf, ndio umri sahihi wa kusaka ndoa
Mara ya mwisho kumfulia mpenzi wako ilikuwa lini?Hapana
SijawahiMara ya mwisho kumfulia mpenzi wako ilikuwa lini?
🤣🤣🤣Sasa huyo so mke mtu tayari?yani afanye yote hayo akiwa anatumika aka kuchunguzwa ili aolewe?🤣🤣🤣Ebu jaribu kuziishi hizo sifa ukiwa na mpenzi wako, nakuahidi ndani ya miezi sita tu, utatulete kadi za harusi
Mchumba wako yuko mbinguni anakuja miaka 200 ijayo, kwa hiyo kaa kwa kutulia umsubiri.Sijawahi
Wakati wa Mungu ni upi?wakati wa Mungu ndio wakati sahihi zaid..tuendelee kuishi 😊🤗
Kwani umefika 30🤔?wakati wa Mungu ndio wakati sahihi zaid..tuendelee kuishi 😊🤗
Angalia walichofanya bustani ya Eden, ungedere ndio ulimfanya Eva amuone shetaniHalafu kuhusu tatizo la ungedere nimekumbuka kitu hadi nimecheka. Nilimkuta demu anacheza muziki mbele ya simu halafu hakuna hata mziki wenyewe, nikaambiwa anatengeneza Tik-Tok. Nilibaki nashangaa tu.
Tumeambiwa hawai wala hachelewi😊🤗Wakati wa Mungu ni upi?
Bado sanaaaa😃😃Kwani umefika 30🤔?
🤣🤣Na hasinzii Wala halali🙏Tumeambiwa hawai wala hachelewi😊🤗
Yeah😊😂😂🙈🤣🤣Na hasinzii Wala halali🙏
Na miaka elfu 1 kwa bwana sawa na siku 1 tu.
Nimeoa mkuu, mwaka wa 23 huu; pia tunapasha pasha huku nje ili kuwapa kampani hawa ambao hawajaolewa, wasijihisi vibaya kwamba tumewatenga.,
🤣🤣🤣Sasa huyo so mke mtu tayari?yani afanye yote hayo akiwa anatumika aka kuchunguzwa ili aolewe?🤣🤣🤣
Btw vipi uneoa mkuu?na ana sifa hizo au bado unanunua UTI za bei rahisi?