Wadada wanaofaa kuolewa

Wadada wanaofaa kuolewa

,
Ebu jaribu kuziishi hizo sifa ukiwa na mpenzi wako, nakuahidi ndani ya miezi sita tu, utatulete kadi za harusi
🤣🤣🤣Sasa huyo so mke mtu tayari?yani afanye yote hayo akiwa anatumika aka kuchunguzwa ili aolewe?🤣🤣🤣
Btw vipi uneoa mkuu?na ana sifa hizo au bado unanunua UTI za bei rahisi?
 
,

🤣🤣🤣Sasa huyo so mke mtu tayari?yani afanye yote hayo akiwa anatumika aka kuchunguzwa ili aolewe?🤣🤣🤣
Btw vipi uneoa mkuu?na ana sifa hizo au bado unanunua UTI za bei rahisi?
Nimeoa mkuu, mwaka wa 23 huu; pia tunapasha pasha huku nje ili kuwapa kampani hawa ambao hawajaolewa, wasijihisi vibaya kwamba tumewatenga.
 
Back
Top Bottom