Kiuhalisia ,Mwanamke yoyote kabla hajakukubalia anataka awe ameshajua hakikisha lake la ulinzi .... Ulinzi wa Huduma yake, na ule Uanaume wako n.k .
Akishakua na uhakika wa Ulinzi , basi anaangalia chapili... Je Wewe Mwanaume hata akikubebea mimba, atazaa Nawewe mtoto mzuri??.
Akishaona unaweza mpa watoto wazuri, basi hata mimba atajilengeshaaa 😂😂.
( Katika hayo mambo mawili, ukiwa mjanja mjanja, utaweza kuya bypass , ndio maana Kuna wakati unakuta Demu mksliiiiii anatoka jamaa ana sura mbovuuuu, au Demu wa kishuaaaaaa au anampungaaa ila anatoka najamaa Hoehaeeee kama Carlos hapa).
Sasa, Sasa ,Sasa ( in Tundu Lissu Voice ) Sasa ukishindwa wewe Mwanaume Kucheza na Hisia za mwanamke huyo nakumfanya awe mtumwa wako Kihisia, amini nakuambia Mwanamke huyo atakupendea tu vihela vyako akuchune ubaki na ngozi tu .