Wadada/wanawake upo tayari kukaa bila ku test mitambo mpaka siku yenu ya ndoa?

Wadada/wanawake upo tayari kukaa bila ku test mitambo mpaka siku yenu ya ndoa?

Kwa sababu tayari umeshakubali kuwa ninyi wanaume hamuwezi kusubiri nikiona unataka kusubiri nitajiuliza UNAFICHA NINI???
Pia nitajiuliza mwanaume huyu katokea sayari gani??? Isijekuwa ni jini
( Samahani komenti imejiandika)
daaah 😂

lkn khatwe hapo juu nimekubali kwa nafsi yangu tu,si kwa wote

eti isijekua jini😂,kwahyo utafanyaje ukjikuta ktk hali ya namna hiyo?
 
daaah [emoji23]

lkn khatwe hapo juu nimekubali kwa nafsi yangu tu,si kwa wote

eti isijekua jini[emoji23],kwahyo utafanyaje ukjikuta ktk hali ya namna hiyo?
Nitafurahi ila hayo mwaswali lazima nitajiuliza
 
Nitafurahi ila hayo mwaswali lazima nitajiuliza
Wakati unafurahi lakini najua lazima utajaribu zile mbinu zenu

za kivita ili muhakikishe yakweli haya au maneno tuu na baada

yakujua haya ni ya kweli,moyoni mwako utakua na amani kweli?
 
Wakati unafurahi lakini najua lazima utajaribu zile mbinu zenu

za kivita ili muhakikishe yakweli haya au maneno tuu na baada

yakujua haya ni ya kweli,moyoni mwako utakua na amani kweli?
Nitakuwa na amani na nitamshukuru sana Mungu
 
Binafsi siwezi kwa sababu nilishakutanaga na mwanaume anakojoa ndani ya dk 1 hawezi dumu hata dk 3 yaan alikua ana shida kubwa sana..nilivumilia but mwisho wa siku sikutaka kua msaliti nikaachana nae.
Sasa ukisema kusubiri ndoa naogopa yasije yakawa yaleyale.
 
Binafsi siwezi kwa sababu nilishakutanaga na mwanaume anakojoa ndani ya dk 1 hawezi dumu hata dk 3 yaan alikua ana shida kubwa sana..nilivumilia but mwisho wa siku sikutaka kua msaliti nikaachana nae.
Sasa ukisema kusubiri ndoa naogopa yasije yakawa yaleyale.
Nimeshawishika kufahamu unataka akojoe ndani ya dakika ngapi?
 
Mwanamke nlianzisha nae relationship, wakati tunaanza akasema yeye hakuwa na mtu for like mwaka na nusu, which means hajasex mwaka na nusu. Relationship ikaendelea, nikaanza lipiga tunda lililokuwa bench mwaka mmoja na nusu, ishu ikaja sasa kapata kazi mkoani na saiv ana kama mwezi wa tatu analalamika nyege anataka nimfuate , swali nnalojiuliza miez mitatu kashindwa ku abstain ataweza mwaka na nusu, wanawake hawaeleweki, na ndio mana anamkataa jamaa alie singo anaenda kwa mshikaji mwenye wanawake saba na anaanza kulia lia
 
Back
Top Bottom