Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achaaaaahhh Zina Nyooka TuuuMkuu totoz za huku hazina mambo ya kishamba kama za bongo
Nimecheka, unashangaa nn sasa[emoji85]Hahahaaa kwanini mkuu
Ah ah ah ah ah Congratulations Mtt Wa MwanzaPoa mkuu nina demu mmoja mkali kinoma wa kizungu wala hanaga mambo ya mizinga
Inawezekana kama sio umeongeza mwaka mmoja kwenye miaka yako[emoji85] [emoji38]Jamaa anadai leo nimeazima akili kuna ukweli wowote hapa kweli?
unajua ukikua na akili inakuaHahaaaaaa
cheka tu ujue kucheka nako ni afya mkuuHahaaaaaa unaendelea kunichekesha
Yap mimi nataka akili yako ndo iwe yangu yaan tuwe sale sale
iko hivi wadada masikin hwajui hali mbayaKuonga kipaji kwakweli, ila ndo mpunguze ubahili.Hao wanawake matajiri nao walikua maskini kipindi wakiwa wadogo wanazitafuta.So muheshimu kabinti maskini cha leo katakua tajiri kakuonge alafu kumbe wanaume wa mkoani mnapenda slope eh.
thanks for compliments mkuuNdo maana mimi nimekuchagua wewe maana uko vizur kwa kila kitu nafurah kuona sasa umeanza kunibadilisha
Sasa waambie wakawaombe baba zao au kaka zao! waache kabsa kuwapumzikia vijana watafutaji loliko hivi wadada masikin hwajui hali mbaya
Ukimwambia sina hela anachukia
hakika tena kipaji hiki wanacho wamama zaidiKuonga kipaji kwakweli, ila ndo mpunguze ubahili.Hao wanawake matajiri nao walikua maskini kipindi wakiwa wadogo wanazitafuta.So muheshimu kabinti maskini cha leo katakua tajiri kakuonge alafu kumbe wanaume wa mkoani mnapenda slope eh.