Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahah umeipenda yangu eeehKwa hiyo tushaanza kufana akili na mawazo? Mimi nataka tuchukue tabia yako ndo iwe yetu sote maana tabia yangu huwa siiamin kabisa
poa poaOhooo bas pole sana ngoja nitamtuma dereva akuijie
wewe unaona kipi kizuri? wewe mwenyewe tu na roho yakoNitakutumia usijalil, nitume ya sabunu au ya wine na nyama baada ya muda wa kazi?
Unaonaje hiyo package ikinihusisha na mimi mwenyewe?wewe unaona kipi kizuri? wewe mwenyewe tu na roho yako
unaweza tuma ya sabuni, wine na nyama in a package
teh teh
hahahahahahahahah kivipi mkuuu? unataka ukituma na mimi nitume?Unaonaje hiyo package ikinihusisha na mimi mwenyewe?
Mkuu ukipata tajir usikubali uish kwake kila mtu awe na maisha yake mkutane wakati wa kupigana vyuma tuKwaasilimia fulani ni kweli...lkn nadhan kwasababu ya umaskin ndo maana unakuta wanasumbua coz wakiona sehemu nyingine yenye hela zaid hawaoni tabu kudanganyika... Ila matajiri nao wana tabu zao hawakawii kukuambia nenda huna chako hapa...... Ni Mungu tu atusaidie kwakweli...
Poa poa tufanye hivyo aisee unajua mimi napenda tabia tako ya upole na ukarimu afu uko mtaratibu sana hunaga maneno mengihahahahahah umeipenda yangu eeeh
ngoja tufanye mpango uwe unakuwa na tabia yangu
sasa sikiza, utakuwa unanisikiliza na kunifatisha ninachofanya
teh teh
jitahidi kuwanyoosha ila na kuwa makini kinga zaidi ukiwagonga wanawake wengi heshima inapanda lazima wakusimulieMkuu kwahiyo avatar hapo juu badilisha id jiite bokoharam wa dodoma