Truth Be Told
Senior Member
- Oct 23, 2017
- 121
- 198
we jikute unaelewa majukumu yao ile kwako. wanawake wasio ombaomba wapo wengi tu mkuu acha kujiumiza, zungukazunguka utakutana nao wanaojielewa.Madem akili zao bhuana ukimtongoza anakuwa n wazazi ukisha kuwa nae tu galfa anageuka yatima mara hana viatu hana kodi ya nyumba hana nguo
Upande wa pil wanaume timizen majukumu usigope kufilisika ila endapo mtoto n mzur cha mwisho km humpendi mtu usimpotezee muda wake
hatutaki kuhongwa na hatutaki kuhonga. huwezi kunielewa kwasababu akili zako ni nzito kama mwili wako. vibonge bwana [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Mkuu kuonga vi 30 30 20 50 navyo ulalamikewe jikute unaelewa majukumu yao ile kwako. wanawake wasio ombaomba wapo wengi tu mkuu acha kujiumiza, zungukazunguka utakutana nao wanaojielewa.
bwana wa nini wakati mamaako anamek it rain [emoji5]Marioooooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupenda bure bure,mtaolewa. Kama unapenda sana ela sema utafutiwe bwana.
watu wazima wenyewe wanachepuka kwahivo umri sio solution. tumezaliwa kuwagonga tunaoa kutimiza wajibu ila mgongo uko palepale.
ila mada ni kwamba mmekua ombaomba. hatutaki hio.
axaantee mkuu...umejibu kwa munkari....umenijibia mimi na wanaume woteehakuna anaependa kutunzwa hapa mi nna pesa zangu na wewe tafuta zako, kilichotukutanisha ni nyge basi tuishie hapohapo kwenye nyge shida peleka kwa babaako.
na hayo mashuka kaleta mwenyewe sisi hatunaga shobo za kuomba.
narudia tena, kilichotukutanisha ni viungo hivi [emoji111] viwili tu, zaidi ya hapo kila mtu apambane na hali yake hakuna mteremko sku hizi na hakuna malipo baada ya sex kana kwamba nyie mnauza hio kitu.
shida hukooo kwa babaako.
hiyo ni kweli..kusaidiana....ila mkuu kuna watu kwenye kuomba hela ni hatar...yani unaweza kits jumla jumla yake kwa mwez kama alikua kavunja vicoba vileHapana naye hakuombi kila SIKU ,ila ikitokea ana shida MPE ,labda uwe Malaya kama umempenda utafanya chochote kwa ajili ya kumlinda ,shida mapenzi ya kweli ndyo unakuwa huna
Hata wale wasio na pesa wanamapenzi ya kweli, sema tu ugumu wa maisha unafanya hata waigize kwenye mapenzi kwa wanaume wenye pesa , lakini mwisho wa siku wanakuwa na wanao wapenda , mwenye pesa anaachwa solemba
tena type izi unakuta ana mashauZI atar..anajigeuza geuza kama joka la mdimu......buulshiit....
ati type hizi nao wanaomba hela [emoji30] [emoji30] [emoji30]
OMG...!bwana wa nini wakati mamaako anamek it rain [emoji5]
Very silly
Hahahahaha eti washindia mihogoKweli masikini wanasumbua na tamaa kama fisi...!
Tena usikute kadada kazuri ila kwao ni washindia mihogo katasumbua katakusumbua ujute kuzaliwa.! Mmnyuuhh..
Ukishamtongoza tu basi ujue anakuwa jukumu lako sio la wazazi wake. Ukitaka awe jukumu la wazazi wake basi usimtongoze muache na wazazi wake.Madem akili zao bhuana ukimtongoza anakuwa n wazazi ukisha kuwa nae tu galfa anageuka yatima mara hana viatu hana kodi ya nyumba hana nguo
Upande wa pil wanaume timizen majukumu usigope kufilisika ila endapo mtoto n mzur cha mwisho km humpendi mtu usimpotezee muda wake
Asante sana mkuu na hao mademu wasiojishulisha ndo wavaa mavigi ya kunuka nuka na mikucha kama jiniUkweli ni kwamba kuwa na mahusiano mwanamke asiyejishughulisha ni shida kubwa,mwanamke hata chupi hawezi kujinunulia wa nini sasa huyo?mwanamke matonya kwangu hana nafasi nataka mwanamke mwenye future, sio mwanamke wa salon tuu kila saa kuweka mawigi na mikucha ya bandia.sometime muwe mnajielewa basi jaman tunataka wanawake wenye malengo.