Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

we jikute unaelewa majukumu yao ile kwako. wanawake wasio ombaomba wapo wengi tu mkuu acha kujiumiza, zungukazunguka utakutana nao wanaojielewa.
 
hatutaki kuhongwa na hatutaki kuhonga. huwezi kunielewa kwasababu akili zako ni nzito kama mwili wako. vibonge bwana [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Marioooooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupenda bure bure,mtaolewa. Kama unapenda sana ela sema utafutiwe bwana.
 
we jikute unaelewa majukumu yao ile kwako. wanawake wasio ombaomba wapo wengi tu mkuu acha kujiumiza, zungukazunguka utakutana nao wanaojielewa.
Mkuu kuonga vi 30 30 20 50 navyo ulalamike
 
watu wazima wenyewe wanachepuka kwahivo umri sio solution. tumezaliwa kuwagonga tunaoa kutimiza wajibu ila mgongo uko palepale.
ila mada ni kwamba mmekua ombaomba. hatutaki hio.

Sasa mnaposema mapenzi ya dhati mnatumia akili au matope

Wao wawe wakweli kuwaridhisha matapeli wa mapenzi.

Very silly
 
axaantee mkuu...umejibu kwa munkari....umenijibia mimi na wanaume wotee
 
Hapana naye hakuombi kila SIKU ,ila ikitokea ana shida MPE ,labda uwe Malaya kama umempenda utafanya chochote kwa ajili ya kumlinda ,shida mapenzi ya kweli ndyo unakuwa huna
hiyo ni kweli..kusaidiana....ila mkuu kuna watu kwenye kuomba hela ni hatar...yani unaweza kits jumla jumla yake kwa mwez kama alikua kavunja vicoba vile
Hata wale wasio na pesa wanamapenzi ya kweli, sema tu ugumu wa maisha unafanya hata waigize kwenye mapenzi kwa wanaume wenye pesa , lakini mwisho wa siku wanakuwa na wanao wapenda , mwenye pesa anaachwa solemba
 
[QUOTE="Qassim14,
Nakuunga mkono mkuu kwa kiasi kikubwa. Kwa maelezo yako ni dhahiri kuwa mtoa mada hana mapenzi ya dhati. Nikukumbushe tu kwamba hata kwenye kufariji na kujali pesa inahitajika kama ipo. Hii ni kwa sababu faraja bora ni ile ambayo mfariji amebeba uzito wa kuwa mfumbuzi wa tatizo kwa kadiri anavyoweza. Kama mtoto wa watu anashida inabidi akueleze ili apate faraja, we unaona anataka pesa wakati kweli shida anazo na wewe ulimwambia unampenda , waweza vipi kumpenda mtu huku wakimbia shida zake. Hukumbuki kwamba ulimfuata mwenyewe kumwambia unampenda, apate wapi faraja kama si kwako. Ukipenda tunda penda na ua lake, kadhalika ukipenda binti penda na shida zake kama zipo. Samahani Mkuu,hii namwambia mleta mada kwamba ataendelea kuambiwa shida kila zinapokuwapo. Hata hao wa kishua wakiwa na shida watamwambia.
 
Kweli masikini wanasumbua na tamaa kama fisi...!

Tena usikute kadada kazuri ila kwao ni washindia mihogo katasumbua katakusumbua ujute kuzaliwa.! Mmnyuuhh..
Hahahahaha eti washindia mihogo

Aiseee
 
Ukishamtongoza tu basi ujue anakuwa jukumu lako sio la wazazi wake. Ukitaka awe jukumu la wazazi wake basi usimtongoze muache na wazazi wake.
 
Asante sana mkuu na hao mademu wasiojishulisha ndo wavaa mavigi ya kunuka nuka na mikucha kama jini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…