Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee sister maserat hapa hakuna marioa hapa nimejitoa kuwachana ukweli msiopenda kuusikia punguzen njaa ndo maana wengi wenu ni single mazaPovuuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Marioo hamnaga kazi zaidi ya kupiga show muhongwe na mademu zenu,then mpige kelele msihonge mlichohongwa.
Yaani wanaume wapiga porojo dezaon zenu hizi hamnaga kitu mpaka mhongw,hamnaga jeuri mjino hapa porojo tupu na kukandia wanawake
Marioo mna kazi nyinyiiii. Hataricious
Haaaaa huwa nachekaga sana saiv nishawajulia nawangaliaga tu unipe sawa usinipe sawaUkishamtongoza tu basi ujue anakuwa jukumu lako sio la wazazi wake. Ukitaka awe jukumu la wazazi wake basi usimtongoze muache na wazazi wake.
Usitucheke mkuu,ndio uanaume huo.Haaaaa huwa nachekaga sana saiv nishawajulia nawangaliaga tu unipe sawa usinipe sawa
Hakuna wa kupanik hapa lazima mnyoke hakuna cha bure hapaPovu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]povu my foot.
Jinsia angu imeelelezwa kwenye profile angu. Mimi ninachangia kama wachangiaji wengine. Atakae panic at his own risk.
Itapendeza mnafanya vijana wawe mafukara punguzen kuomba ombaAiseeee inabidi nianze kutafuta pesa maana si kwa masimango haya kwa sie masikini
Acha zako baby sasa kuna shida gan demu akileta unga gheto tupikeShida yenu nimegundua mnapenda kutunzwa, nahis hawa wamama watu wazima wamewaharibu kabisa[emoji85]
Alete mashuka amekuwa mzazi wako?
Muwe mnajiongeza kiduchu[emoji87]
Kuanzia leo nimekoma kuomba ombaItapendeza mnafanya vijana wawe mafukara punguzen kuomba omba
Sema tarehe mbaya hizi ningekuja pmKuanzia leo nimekoma kuomba omba