Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

kimwanamke kimekupenda chenyewe kimekuja na nyge zake ghafla baada ya sku mbili tatu kinatangaza njaa mara viatu vipya, yani ghafla nyge zimehamia miguuni.. asalale.
Mkuu njaa zitawaua hawa
 
Povuuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Marioo hamnaga kazi zaidi ya kupiga show muhongwe na mademu zenu,then mpige kelele msihonge mlichohongwa.
Yaani wanaume wapiga porojo dezaon zenu hizi hamnaga kitu mpaka mhongw,hamnaga jeuri mjino hapa porojo tupu na kukandia wanawake
Marioo mna kazi nyinyiiii. Hataricious
Aisee sister maserat hapa hakuna marioa hapa nimejitoa kuwachana ukweli msiopenda kuusikia punguzen njaa ndo maana wengi wenu ni single maza
 
Ukishamtongoza tu basi ujue anakuwa jukumu lako sio la wazazi wake. Ukitaka awe jukumu la wazazi wake basi usimtongoze muache na wazazi wake.
Haaaaa huwa nachekaga sana saiv nishawajulia nawangaliaga tu unipe sawa usinipe sawa
 
Hahahaha naona kwa sababu KE wamekazana kudiss ME maskini umeamua kutetea kambi sio?



Basi fresh...
Hawa watu wanazingua sana mkuu ngoka leo tuwachane ukweli
 
Povu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]povu my foot.
Jinsia angu imeelelezwa kwenye profile angu. Mimi ninachangia kama wachangiaji wengine. Atakae panic at his own risk.
Hakuna wa kupanik hapa lazima mnyoke hakuna cha bure hapa

Jitafutien na nyie za kwenu sio kuwa maomba omba
 
Shida yenu nimegundua mnapenda kutunzwa, nahis hawa wamama watu wazima wamewaharibu kabisa[emoji85]
Alete mashuka amekuwa mzazi wako?
Muwe mnajiongeza kiduchu[emoji87]
Acha zako baby sasa kuna shida gan demu akileta unga gheto tupike
 
Umri dogo umri, kwasasa huwezi kunielewa. Utaelewa tu usijali.
Umri wap sister njaa zitawaua nyie wavaa mawigi ya kunuka

Wambie na wenzako tumechoka na njaa njaa zenu

Sisi sio wazazi wenu
 
Tatizo umri, hawa wavulana hawawezi kukuelewa kwa sasa. Hebu rudi baada ya miaka kama kumi hivi maybe mtaelewana.
umri umekuwaje hapa mbona unataka kuhamisha mada punguzen njaa
 
Back
Top Bottom